Naona kuna watu washanza kujidanya kuwa kiba atapata nomination za MTV cjui afriamam sio rahisi kisa video hapana me kuna wasanii wa Nigeria nyimbo zao zinapigwa daily MTV n trace ila nomination wengine wamepata Mara moja au wengine hawajawahi kabsa mfano runtown, burna boy, Cynthia Morgan, praiz, solid star n wengineo kuingia international sio kazi raisi kwa kigezo cha video kuna mengi msanii anatakiwa kufanya km ambavyo alifanya diamond alipo pata fursa kufanya kazi n davido alipo enda Nigeria alihakikisha anafanya media tour ktk vituo vikubwa msanii wenu ana safari ndefu sn kigezo kingekuwa video basi ommy dimpoz angekuwa kashapara nomination mda sn coz ndagushima ilikuwa Inapigwa MTV hata wanjera so ngojeani mda wenu bado sn