Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jf ni sheria zisingekuwepo. Ama kweli hawa viumbe wamepaniki. Yani kuna midume dhaifu ikizidiwa hoja inakimbiliaga kuita Mara ma... Sijui nini loh.
Yani na bado Mpaka wataisoma namba matusi hayasaidii kitu ustaarabu ni muhimu.

Kuna muda wanajisahau wanahisi wako insta, alafu miandiko yao ya humu inafanana kabisaaa na ile inayoporomosha matusi kule, alafu eti wazalendo!! Wazalendo wanaotukana watanzania wenzao!!! Teh teh teh
 
chibu dangote
wekuni wivu pembeni and let us all tupige kura
kwa mkali anaewakilisha taifa letu
diamondplatnumz pamoja na vmoney au sio team
kibaaa...
Hivi hamjui kwamba kiba alivoenda marekani
baada ya kuona hawaijui tz akasema """"i am
coming from diamond platnumz country""""
hahahahahaha fanyeni tuzidi kuleta heshima
nyumbani kama veepee
one love team kiba me mwenyewe mwanenu
nasubiri kichupa cha cheketuta tu chekeche
mpango mzima haayaaa chekecha chekecha
chekecha...
vote for diamond platnumz and vee mapesa Our
nations icons wa muziki kwa sasa, alikiba
kashapiga kura we unasubiri nini?????????
 
Hahahaaa leo nimefanikisha kuwareport waalifu wa tatu na wakalimwa ban wote adi muuza njiwa. Wamezoea kubofya kitufe cha report abuse watu tunalimwa ban tuu sasa leo mimi ndo ilikuwa kazi yangu.

Nilikusaidia ujue
 
yaani bora nifah alivyopumzika maana kwa jinsi alivyo mkereketwa siku ile angeungana na genivores na ban angeipata
 
Last edited by a moderator:
Kuna muda wanajisahau wanahisi wako insta, alafu miandiko yao ya humu inafanana kabisaaa na ile inayoporomosha matusi kule, alafu eti wazalendo!! Wazalendo wanaotukana watanzania wenzao!!! Teh teh teh

Umeona eeeh yani miandiko inafanana kabisa ka ya JF ni aibu tupu MTU kuyokukubali kutofautiana na wengine na yeye kujiona bora. Aibu tupu
 
Hahaaaaa@Kidingi umekula maharage ya wapi wewe utulii unaimba tu ngonjera za wivu na chuki na kushushwa. Nyie hamnaga vingine zaidi ya HVO. Pole aiseeee mana naona hali ni tete hilo gazeti si mchezo.
Hebu summarize key point basi.
 
Daah yaani ile siku duu watu mlikunywa sijui viroba maana huko kuchambana huko wewe na wako na Geneveros na wake duuh nimewavulia kofia sema ujue nini ata yako ilibaki nusu kama ule uzi usingefungwa na wewe ungepelekwa.
Ila mimi nilipigwa ban kwenye uzi mwingine kuna mtu alinitukana na mimi nikamjibu nikapigwa ban yy akaachwa sasa nimekumbuka ngoja nika mreport.

Yani wee acha tu siku ile sema nimejifunza kuepuka malumbano ya kijinga na Ku ignore kabisa upepo mchafu wa siku ile ukanipitia mbaaali na sikua na mood ya kujibishana ujinga.
Mi nimeshakua victim wa kutukwana bila sababu na watu wenye multiple I'd na huwa nawa ignore tu kiroho safi Mpaka nimezoea sasa ivi.
 
Last edited by a moderator:
Yani wee acha tu siku ile sema nimejifunza kuepuka malumbano ya kijinga na Ku ignore kabisa upepo mchafu wa siku ile ukanipitia mbaaali na sikua na mood ya kujibishana ujinga.
Mi nimeshakua victim wa kutukwana bila sababu na watu wenye multiple I'd na huwa nawa ignore tu kiroho safi Mpaka nimezoea sasa ivi.

Lol ulimchamba shoga ako utazani hamjuani
 
Na bora hukulishuhudia ilikua Uzi wa kiba sasa watu mahasira yao wanaanza kuparamia watu.
Stress zikizidi waliona kuchamba ndo deal ili kupunguza maumivu.
Uzuri wangu nawaelewa vizuri nili ignore tu.

Mie ndio maana hata sijihangaishi nao kwakweli, hawatokaa wanikute kwakweli, akili zao zinafananaaaaa kama za kuku vile, kunya wanapolala
Unafiki umewajaaa na hate isiyokuwa ya msingi, hawayaoni yao kutwa kuhorojoka na ya Kiba, acha wajivue nguo wenyewe
 
Hahaaaaa@Kidingi umekula maharage ya wapi wewe utulii unaimba tu ngonjera za wivu na chuki na kushushwa. Nyie hamnaga vingine zaidi ya HVO. Pole aiseeee mana naona hali ni tete hilo gazeti si mchezo.
Hebu summarize key point basi.

Point aitoe wapi sasa unadhani?? Hapo ndio kajitahidi hadi mwisho wake, wakae wajitathmini
 
Hahaaaaa@Kidingi umekula maharage ya wapi wewe utulii unaimba tu ngonjera za wivu na chuki na kushushwa. Nyie hamnaga vingine zaidi ya HVO. Pole aiseeee mana naona hali ni tete hilo gazeti si mchezo.
Hebu summarize key point basi.

Kiba alivyoenda marekari aliwaambia ""i am from diamondplatnumz country"" si unajuwa ndio icon wetu, ndio maana ameamua kumpigia kura mtv kaangalie twitter
 
Hahahaaa leo nimefanikisha kuwareport waalifu wa tatu na wakalimwa ban wote adi muuza njiwa. Wamezoea kubofya kitufe cha report abuse watu tunalimwa ban tuu sasa leo mimi ndo ilikuwa kazi yangu.

nakukubali ujue cute b
 
Last edited by a moderator:
Kiba alivyoenda marekari aliwaambia ""i am from diamondplatnumz country"" si unajuwa ndio icon wetu, ndio maana ameamua kumpigia kura mtv kaangalie twitter

hata kuandika hujui. marekari=marekani
 
Yani wee acha tu siku ile sema nimejifunza kuepuka malumbano ya kijinga na Ku ignore kabisa upepo mchafu wa siku ile ukanipitia mbaaali na sikua na mood ya kujibishana ujinga.
Mi nimeshakua victim wa kutukwana bila sababu na watu wenye multiple I'd na huwa nawa ignore tu kiroho safi Mpaka nimezoea sasa ivi.

Ila nakukubali myn, ukiamua kutoa dozi huwa unatoa hasa.
Kuna siku ulinichambia watu flani flani hadi nilijisikia raha yaani!
 
Mwanangu nasikia dude la mwana linagongwa kitaa sijui nilifuatilie..maana sio kwa utamu ule ati!!!
Dah hili dude nomaa aseee linapoteza hadi nyimbo zote mpya!!!
 
Back
Top Bottom