Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

dah hawa team domo ni wavivu sana wakufikiria sasa shetta na ommydimpoz wamefanya collabo na wanigeria Kiba atashindwaje na yeye kufanya hajataka tu mwenyewe ila nigeria sio kimataifa na USA je ? domo kashindwa hata na Mayunga #yoooooooo

Mtaje huyu mnigeria alifanya collabo n ommy dimpoz
 
dah hawa team domo ni wavivu sana wakufikiria sasa shetta na ommydimpoz wamefanya collabo na wanigeria Kiba atashindwaje na yeye kufanya hajataka tu mwenyewe ila nigeria sio kimataifa na USA je ? domo kashindwa hata na Mayunga #yoooooooo

tafadhali nakuomba achana naye huyo jamaa, naona kashaanza kutukana, hata collabo ya ommy na martin unabishana naye nini
 
dah hawa team domo ni wavivu sana wakufikiria sasa shetta na ommydimpoz wamefanya collabo na wanigeria Kiba atashindwaje na yeye kufanya hajataka tu mwenyewe ila nigeria sio kimataifa na USA je ? domo kashindwa hata na Mayunga #yoooooooo

Na muda mnao kweli, kabisaaaa huyo ni wa kukaa unafanya naye convo hata ya ze comedy kweli!!!
 
tafadhali nakuomba achana naye huyo jamaa, naona kashaanza kutukana, hata collabo ya ommy na martin unabishana naye nini

Aiseee nilisahau peter choka kumbe j martin loh tupogo ile juhudi zke Zote akutoboa nje
 
Naona ITV wanarudia utoaji wa tuzo pia baadaye saa 2 clouds nao wataonyesha
 
davido amejuuua kukata ngebeeee, voteeee

Duuuuuh!!! Hayo matusi sasa yanayomiminika huko aibu naona mie, si walisema wao wasafi hawana matusi??

Ila this is getting bad kwakweli, sio kwa matusi yale.
 
Duuuuuh!!! Hayo matusi sasa yanayomiminika huko aibu naona mie, si walisema wao wasafi hawana matusi??

Ila this is getting bad kwakweli, sio kwa matusi yale.
I
wanajiita maqueen na making wa matusi Africa.
waaache watukane hamna tusi jipya chini ya juaaa.
afu nijibu text message yangu naweew
 
I
wanajiita maqueen na making wa matusi Africa.
waaache watukane hamna tusi jipya chini ya juaaa.
afu nijibu text message yangu naweew

Uliituma wapi mpenzi? Sijaona lazima ningesharespond.
Kanifurahisha response yake kuna na ya yule nimemsahau jina kawaambia watoke kwenye page yake maana bila davido ndomo asingejulikana maana hakuna aloijua no.1 og kabla ya remix na davido, na akawaambia lazima ndomo aendelee kufanya colabo na wanaija. Duuuuh!!
 
Jamani habari zenu?? Nimewamisi sina nishakua mjela jela.
Kazi ile ile
Vote vote vote for davido
 
Back
Top Bottom