Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nimekumiss zaidi my peterchoka.
Nilikuwa nasoma tuu mnavyopambana na wazee wa kukurupuka

account fake ya ktma, davido bado wanaponda u-ambassador wa king, ila tunaenda taratibu wataelewa
 
Last edited by a moderator:
account fake ya ktma, davido bado wanaponda u-ambassador wa king, ila tunaenda taratibu wataelewa

yani hawa jamaaa sijui wapoje walibadilisha mpaka code za kiba kwenye ktma lakini hawakufanikiwa sasa wanafungua a/c fake tu kila cku #ROCKSTAR 4000
 
yani hawa jamaaa sijui wapoje walibadilisha mpaka code za kiba kwenye ktma lakini hawakufanikiwa sasa wanafungua a/c fake tu kila cku #ROCKSTAR 4000

Ingefanywa hivyo kwa ndomo uwiii pangechimbika, ila they hate Kiba ila wanawaita watu haters!! Kweli nyani haoni.......
 
I will always be Kiba's fan kwakweli, let them do chochote bt King is always the best

watanzania tunakazi kweli hadi faly ipupa anashangaa matusi kwenye a/c ya davido watz wanatukanana davido hta kiswahili hajui maskin @ ROCKSTAR 4000
 

Attachments

  • 1434823538501.jpg
    1434823538501.jpg
    44.2 KB · Views: 65
insta pamechafuka jamani King Kiba maintain ur silence King we love u #Ambassador

And its getting worse, watu wanajiita wasafi ila wanamimina mitusi hiyo hatari, duuuuh its a shame kwakweli, lets respects each others choices n decisions, sio lazima tufanane mitazamo au upenzi, ila kufikia hatua ya kuchukiana na kutukanana that much kwakweli hapana
 
Na mtavote saaaaaaaaaana hadi kwa chris brown kwenye grammy awards huku chibu dangote huyoooooo anazidi tu kupaa anga...

Leo ametoka kushoot video aliyoshirikishwa hukooo South ambapo kichupa kinatoka wiki hii... Kasha kwea pippa yupo Mozambique sahivi kaenda kushoot video nyingine hahaha..

tarehe 3 huyooooo anaanza tour ya mtvmama awards, atakuwa na show ya kibabe saaaaaana pale naija huku mnalinda tembo hahahahaha walahi mtapanick mwaka huu

Mkumbuke tu akimaliza tour ya africa, mwezi wa tisa anaenda marekani kwaajili ya video shoot na mmanyema wa mbele yaaaani tunazo ngoma zenye video tayari yakufanya tuwatapishe kilasiku kwa miaka mitatu mfululizo na bado tunafanya yetu... team dangote oyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Mkumbuke tu Taifa lishamtambua kuwa icon tunasubiri muamze kumtumia kwenye noti hahaha kama hampendi gademu kufwa for mr. president dr. chibu dangote, Na unapozungumzia tanzania unaongelea Mt. kilimanjaro na Diamond platnumz ,.. taifastars mpira unaendelea tushakalishwa viwili na uganda duuuuh
 
Na mtavote saaaaaaaaaana hadi kwa chris brown kwenye grammy awards huku chibu dangote huyoooooo anazidi tu kupaa anga...

Leo ametoka kushoot video aliyoshirikishwa hukooo South ambapo kichupa kinatoka wiki hii... Kasha kwea pippa yupo Mozambique sahivi kaenda kushoot video nyingine hahaha..

tarehe 3 huyooooo anaanza tour ya mtvmama awards, atakuwa na show ya kibabe saaaaaana pale naija huku mnalinda tembo hahahahaha walahi mtapanick mwaka huu

Mkumbuke tu akimaliza tour ya africa, mwezi wa tisa anaenda marekani kwaajili ya video shoot na mmanyema wa mbele yaaaani tunazo ngoma zenye video tayari yakufanya tuwatapishe kilasiku kwa miaka mitatu mfululizo na bado tunafanya yetu... team dangote oyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Mkumbuke tu Taifa lishamtambua kuwa icon tunasubiri muamze kumtumia kwenye noti hahaha kama hampendi gademu kufwa for mr. president dr. chibu dangote, Na unapozungumzia tanzania unaongelea Mt. kilimanjaro na Diamond platnumz ,.. taifastars mpira unaendelea tushakalishwa viwili na uganda duuuuh

And yo writing all this at Kiba's thread, hapo nani sasa kapanik???
 
Naona matusi yamehamia jf sasa!! Duuuh watu wameshikwa pabaya na wamefika pabaya sasa, wababa watu wazima wameamua kujivua nguo ovyo ovyo alafu eti wanalaumu, uwiiiiiiii!!

Wanatukana sana
Thats what they can do better
 
Na mtavote saaaaaaaaaana hadi kwa chris brown kwenye grammy awards huku chibu dangote huyoooooo anazidi tu kupaa anga...

Leo ametoka kushoot video aliyoshirikishwa hukooo South ambapo kichupa kinatoka wiki hii... Kasha kwea pippa yupo Mozambique sahivi kaenda kushoot video nyingine hahaha..

tarehe 3 huyooooo anaanza tour ya mtvmama awards, atakuwa na show ya kibabe saaaaaana pale naija huku mnalinda tembo hahahahaha walahi mtapanick mwaka huu

Mkumbuke tu akimaliza tour ya africa, mwezi wa tisa anaenda marekani kwaajili ya video shoot na mmanyema wa mbele yaaaani tunazo ngoma zenye video tayari yakufanya tuwatapishe kilasiku kwa miaka mitatu mfululizo na bado tunafanya yetu... team dangote oyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Mkumbuke tu Taifa lishamtambua kuwa icon tunasubiri muamze kumtumia kwenye noti hahaha kama hampendi gademu kufwa for mr. president dr. chibu dangote, Na unapozungumzia tanzania unaongelea Mt. kilimanjaro na Diamond platnumz ,.. taifastars mpira unaendelea tushakalishwa viwili na uganda duuuuh

so what do u need in KING a/c ? #pop it in #Ambassador
 
Naona matusi yamehamia jf sasa!! Duuuh watu wameshikwa pabaya na wamefika pabaya sasa, wababa watu wazima wameamua kujivua nguo ovyo ovyo alafu eti wanalaumu, uwiiiiiiii!!

Hao ni wa kukurupuka tuu na wana stress za tuzo na bado wakikosa na izi za south ndo watafurahi zaidi ya hapo.
 
Na mtavote saaaaaaaaaana hadi kwa chris brown kwenye grammy awards huku chibu dangote huyoooooo anazidi tu kupaa anga...

Leo ametoka kushoot video aliyoshirikishwa hukooo South ambapo kichupa kinatoka wiki hii... Kasha kwea pippa yupo Mozambique sahivi kaenda kushoot video nyingine hahaha..

tarehe 3 huyooooo anaanza tour ya mtvmama awards, atakuwa na show ya kibabe saaaaaana pale naija huku mnalinda tembo hahahahaha walahi mtapanick mwaka huu

Mkumbuke tu akimaliza tour ya africa, mwezi wa tisa anaenda marekani kwaajili ya video shoot na mmanyema wa mbele yaaaani tunazo ngoma zenye video tayari yakufanya tuwatapishe kilasiku kwa miaka mitatu mfululizo na bado tunafanya yetu... team dangote oyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Mkumbuke tu Taifa lishamtambua kuwa icon tunasubiri muamze kumtumia kwenye noti hahaha kama hampendi gademu kufwa for mr. president dr. chibu dangote, Na unapozungumzia tanzania unaongelea Mt. kilimanjaro na Diamond platnumz ,.. taifastars mpira unaendelea tushakalishwa viwili na uganda duuuuh
 
And its getting worse, watu wanajiita wasafi ila wanamimina mitusi hiyo hatari, duuuuh its a shame kwakweli, lets respects each others choices n decisions, sio lazima tufanane mitazamo au upenzi, ila kufikia hatua ya kuchukiana na kutukanana that much kwakweli hapana

dunia itawafunza wasipobadilika na raisi wao wa maji machafu let's see #ROCKSTAR 4000
 
Back
Top Bottom