Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Zile za BET hamkuweka kiporo??
Kachukueni mfanye kuziongeza MTv

tunusuru nchi yetu taifa stars huko ishapigwa tatu sifuri na unganda,,,, mnaonaje tukilipiza kisasi kwa kupiga 3 za diamond platnumz afu 1 kwa vee mtonyo pale ndichi au sio...

Tupo pamoja wadau me ninachowakubali mnajielewa, tunathamini mapenzi yenu kwa chibu dangote nasi yunamkubali ali k for real pamojaaaaaaaaa
 
attachment.php
 
Mwanangu nasikia dude la mwana linagongwa kitaa sijui nilifuatilie..maana sio kwa utamu ule ati!!!
Dah hili dude nomaa aseee linapoteza hadi nyimbo zote mpya!!!

Kweli? Kideo kimetoka? Sipati picha kitakavyokuwa mwake kama cha akina nanilii wa marekani
 
Jamani msimsahau wifi yake Ms.Lincoln
Vote for vannesa mdee.
 

Attachments

  • 1434871311287.jpg
    1434871311287.jpg
    26.3 KB · Views: 70
Last edited by a moderator:
Du! Nashukuru sanaa
Afu team b sijui kwanini hawaoni kuwa ni kukosa uzalendo kutompa promo Vee Money!?
Jamani she must come home with this award! She is good!

Nakwambia mamy mwaka huu atakaye tuwakilisha ni vanesa mdee tuu ndo best female domo akawakilishe wazee wa kulea mimba wenzie.
Kwanzia leo navote for vanesa maana davido tayar ashashinda
 
Najiuliza Kwanini Ali kiba kwny account zake hampigii promo Diamond na Vanessa kupigiwa kura kwny tuzo za M.A.M.A kama wasanii wenzie wanavyofanya? #mtazamo tu#
 
Kiba alivyoenda marekari aliwaambia ""i am from diamondplatnumz country"" si unajuwa ndio icon wetu, ndio maana ameamua kumpigia kura mtv kaangalie twitter

Ebu jifunze kuandika vizuri kwanza. Mwandiko wako hauna tofauti na hao division five wa Instagram wanaotukana hovyo. Tu.
 
Najiuliza Kwanini Ali kiba kwny account zake hampigii promo Diamond na Vanessa kupigiwa kura kwny tuzo za M.A.M.A kama wasanii wenzie wanavyofanya? #mtazamo tu#

Wewe peleka upashkuna wako kule kwani ni lazima na ni lini domo aliwahi post kiba.
 
Back
Top Bottom