Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wanatukana sana
Thats what they can do better

Its a shame kwakweli, wengine hata sikuwatarajia, ifikie hatua tuheshimu mwazo ya wenzetu hata kana hukubaliani nayo yapinge in way that haitokushushia hadhi yako, hivyo tu yaani kwani how much daz it cost?? Mtu anakurupuka hukooo na mitusiiii utadhani analipwa(may be)

Kuna thread humu za wanamuziki wote wawili lkn fans wa domo hawakauki kwa uzi wa kiba, wht daz that mean??? Nani anapanik hapo? Nani hajiamini hapo? Nani mchonganishi hapo? Wanawachokonoaaaaa Kibas fans mpka inakera, hivi wakitulia na kila mmoja akasapport wake yangetokea wapi haya???
 
Wanatukana sana
Thats what they can do better

Hahahaaa leo nimefanikisha kuwareport waalifu wa tatu na wakalimwa ban wote adi muuza njiwa. Wamezoea kubofya kitufe cha report abuse watu tunalimwa ban tuu sasa leo mimi ndo ilikuwa kazi yangu.
 
Hao ni wa kukurupuka tuu na wana stress za tuzo na bado wakikosa na izi za south ndo watafurahi zaidi ya hapo.

Mpaka mtu anaanza kumfukunyua mtu asomjua ili iweje? Si ndio kutokujiamini huko!! Alafu ukishamjua itakusaidia nini? Ili utukane vzr(as thats wht they know beta)
 
chibu dangote




















wekuni wivu pembeni and let us all tupige kura kwa mkali anaewakilisha taifa letu diamondplatnumz pamoja na vmoney au sio team kibaaa...

Hivi hamjui kwamba kiba alivoenda marekani baada ya kuona hawaijui tz akasema """"i am coming from diamond platnumz country"""" hahahahahaha fanyeni tuzidi kuleta heshima nyumbani kama veepee

one love team kiba me mwenyewe mwanenu nasubiri kichupa cha cheketuta tu chekeche mpango mzima haayaaa chekecha chekecha chekecha...

vote for diamond platnumz and vee mapesa Our nations icons wa muziki kwa sasa, alikiba kashapiga kura we unasubiri nini?????????
 
Hahahaaa leo nimefanikisha kuwareport waalifu wa tatu na wakalimwa ban wote adi muuza njiwa. Wamezoea kubofya kitufe cha report abuse watu tunalimwa ban tuu sasa leo mimi ndo ilikuwa kazi yangu.

ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaahhhh
 
tunusuru nchi yetu taifa stars huko ishapigwa tatu sifuri na unganda,,,, mnaonaje tukilipiza kisasi kwa kupiga 3 za diamond platnumz afu 1 kwa vee mtonyo pale ndichi au sio...

Tupo pamoja wadau me ninachowakubali mnajielewa, tunathamini mapenzi yenu kwa chibu dangote nasi yunamkubali ali k for real pamojaaaaaaaaa
 
dunia itawafunza wasipobadilika na raisi wao wa maji machafu let's see #ROCKSTAR 4000

Iwafunze mara ngapi? Kwa mtu mwenye utashi wake angeshajua wht to do, ila sikio la kufa wht else do u expect? Hawa ni watu wa fujo tu kila mahali, huu uzi ulipofunguliwa walifanya fujo za kila aina humu, wakafungua uzi wao kwa mbwembwe kweli ila bado haikutosha kutwa kushinda hapa kutafuta ugomvi

Hawaishi kusema hawamlinganishi King na ndomo ila sasa cha ajabu kila siku wanapost humu vitu vya ndomo, why hawapost kwingine?? Kila wakimuongelea ndomo lazima wamuingize na King hata km mada haimuhusu King, hiyo yote inamaanisha nn??

King anawaumiza sn hawaadmit kwa vinywa ila matendo yao yanadhihirisha haswaaa, actions speakes loder than words.
 
tunusuru nchi yetu taifa stars huko ishapigwa tatu sifuri na unganda,,,, mnaonaje tukilipiza kisasi kwa kupiga 3 za diamond platnumz afu 1 kwa vee mtonyo pale ndichi au sio...

Tupo pamoja wadau me ninachowakubali mnajielewa, tunathamini mapenzi yenu kwa chibu dangote nasi yunamkubali ali k for real pamojaaaaaaaaa

Usijipendekeze apa..
Huo muda unaoandika gazeti apa si unge vote??
Apa ni for davido, wizkd na vanesa na flavour. Kapeleke izi campean kwa team kukurupuka
 
Mpaka mtu anaanza kumfukunyua mtu asomjua ili iweje? Si ndio kutokujiamini huko!! Alafu ukishamjua itakusaidia nini? Ili utukane vzr(as thats wht they know beta)

Upuuzi tuu umewajaa team kukurupuk yaani muda wote wanajishuku shuku tuu alafu hawajiamini mamy wanachojua ni new id tuu
 
Usijipendekeze apa..
Huo muda unaoandika gazeti apa si unge vote??
Apa ni for davido, wizkd na vanesa na flavour. Kapeleke izi campean kwa team kukurupuka

vote for chibu dangote mr. icon......... alikiba kashampigia wewe unasubiri nini??? pop it in tuwachekeche wanaija
 
Uliituma wapi mpenzi? Sijaona lazima ningesharespond.
Kanifurahisha response yake kuna na ya yule nimemsahau jina kawaambia watoke kwenye page yake maana bila davido ndomo asingejulikana maana hakuna aloijua no.1 og kabla ya remix na davido, na akawaambia lazima ndomo aendelee kufanya colabo na wanaija. Duuuuh!!

Kawajibu vzuri mno. Kinachowafanya kuvamia page ya mtu na matusi yao nini?
Wapuuzi kweli kweli nimrpenda tu pale pa Davido made Diamond loh.
 
Upuuzi tuu umewajaa team kukurupuk yaani muda wote wanajishuku shuku tuu alafu hawajiamini mamy wanachojua ni new id tuu

Kama kweli wanajiamini why wafungue id mpya kila siku?? leo wamejisahau wakatukana na id zao, hahahaaaaa!!!
 
Kawajibu vzuri mno. Kinachowafanya kuvamia page ya mtu na matusi yao nini?
Wapuuzi kweli kweli nimrpenda tu pale pa Davido made Diamond loh.

Hahahaaaaa! And thats it, kwani unadhani hawajui? Ila watu wanatukana jamani duuuuh!!! This is too much sasa
 
watanzania tunakazi kweli hadi faly ipupa anashangaa matusi kwenye a/c ya davido watz wanatukanana davido hta kiswahili hajui maskin @ ROCKSTAR 4000

Na wanatukana matusi hao kupunguza tu hasira na stress sijui wanapigaga viroba na bange kabla ya Ku comment.
Sioni shida watu kuamua kumpigia campaign mtu wao.
Uzuri hamna tusi jipya zaidi ya kuzalilisha viungo vilivo waleta duniani.
 
Am glad ua back ma dia yani na Mimi nicngeji control siku ile mana watu walipania ugomvi wa kinguvu.

Daah yaani ile siku duu watu mlikunywa sijui viroba maana huko kuchambana huko wewe na wako na Geneveros na wake duuh nimewavulia kofia sema ujue nini ata yako ilibaki nusu kama ule uzi usingefungwa na wewe ungepelekwa.
Ila mimi nilipigwa ban kwenye uzi mwingine kuna mtu alinitukana na mimi nikamjibu nikapigwa ban yy akaachwa sasa nimekumbuka ngoja nika mreport.
 
Last edited by a moderator:
Naona matusi yamehamia jf sasa!! Duuuh watu wameshikwa pabaya na wamefika pabaya sasa, wababa watu wazima wameamua kujivua nguo ovyo ovyo alafu eti wanalaumu, uwiiiiiiii!!

Jf ni sheria zisingekuwepo. Ama kweli hawa viumbe wamepaniki. Yani kuna midume dhaifu ikizidiwa hoja inakimbiliaga kuita Mara ma... Sijui nini loh.
Yani na bado Mpaka wataisoma namba matusi hayasaidii kitu ustaarabu ni muhimu.
 
Hilo timbwili sikulishuhudia aisee, tujifunze tu kuwa na limit jamani

Na bora hukulishuhudia ilikua Uzi wa kiba sasa watu mahasira yao wanaanza kuparamia watu.
Stress zikizidi waliona kuchamba ndo deal ili kupunguza maumivu.
Uzuri wangu nawaelewa vizuri nili ignore tu.
 
Back
Top Bottom