Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wewe peleka upashkuna wako kule kwani ni lazima na ni lini domo aliwahi post kiba.

Wanayaonaga ya Kiba tu, upashukuna tuu umewajaa, ilimradi tu wamtafutie balaa mtoto wa watu, wanyenyekewe wao kama nani labda!!?
 
tatizo lao hawataki kuwa wastaarabu, jana kuna uzi alianzisha Dinazarde wa kistaarabu tu lakini wakaanzisha mambo yao

Asili ya maji ni ubaridi tu ndugu yangu hata yachemke vipi, unafiki hujui una mwisho? Ustaarabu hawaujui sasa ukianzisha habari za ustaarabu lazima waumbuke tu
 
Last edited by a moderator:
Yaani tunaupotezeaje sasa kwamfano?

Unapochelewa kutoa video unawapa watu nafasi ya kujenga script zao
Usshangae video ikitoka mtu akauliza "mbona maghorofa ya kko hayapo"
Hii pia hupelekea video kutokaa hewani kwa mda mrefu kwasabbu Nina script nyingi kuhusu video ya chekecha
Akitoa ambayo haifanani na script yngu hata moja
Nitaishobokea wiki ya kwanza then nitaipotezea
 
Yaaaahh ingekuwa poa sana coz haters wanangoja kwa ham wadis

Ya amini nakwambia hata iwe nzuri kama maji ya zamzam
Lazima vidole viwawashe siku hiyo
Lakini akitoa kitu ambacho hakipo vichwani mwao wataponda robo saa ya kwanza then watatulia
 
Unapochelewa kutoa video unawapa watu nafasi ya kujenga script zao
Usshangae video ikitoka mtu akauliza "mbona maghorofa ya kko hayapo"
Hii pia hupelekea video kutokaa hewani kwa mda mrefu kwasabbu Nina script nyingi kuhusu video ya chekecha
Akitoa ambayo haifanani na script yngu hata moja
Nitaishobokea wiki ya kwanza then nitaipotezea

Aitoe tu, na gharama zote hizo? Kama ni kuongea huwezi zuia watu, inasimangwa maiti itakuwa King habari ya watanzania!!! Aitoe tu tucheketue sie, mwenye script yake akaandae nayo movie huko.
 
Back
Top Bottom