Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Hili domo ni la kufanyia surgery tu ndio solution dress maker kila akijitahidi hapo anashindwa tu asemeje na mpunga wameshavuta, wazungu wabaya hawa!
Yani hilo la surgery utafikiri ulikua akilini mwangu kabisa na hyo ndo only solution hapo hata apakwe nini inakua sifuri tu.
Hahaaa huyo anayempaka ana mchora tu hapo.