Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Yaani hapa namtafutia tusi silipati, Mfalme mkubwa yulee, ndio maana handsome,ana sauti nzuri, anajua kuimba, ananyima wenzie usingizi, mkali wa wakali tz,.... duuuh sijui nimemaliza matusi yote au kuna nililobakisha? nifah na Diva Beyonce watanisaidia kuongezea

hahahahah atoto unanifurahisha sana. #kingkiba
 
Last edited by a moderator:
Jamani huyu mnafki kimemkuta kipi hadi akajipendekeza kwenye tuzo za King? Yeye si alimkaushia hadi support hakutoa King alivyotoa wimbo wa Mwana, safi sana....
Mimi sikumpigia kura Christian Bella sababu ya huyu mnakfi Dimpoz.
 

Attachments

  • 1434306756590.jpg
    1434306756590.jpg
    53.7 KB · Views: 116
ImageUploadedByJamiiForums1434307598.350973.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1434307717.499011.jpg
Aya kumekucha wale watu wa sensa naomba watuhesabie watu hapo sebuleni na KTMA wanapendelea mpaka Dallas uko.
cc😡nifah do the needfull wengine sisi waoga katuulizie kwa jirani.
 
Jamani huyu mnafki kimemkuta kipi hadi akajipendekeza kwenye tuzo za King? Yeye si alimkaushia hadi support hakutoa King alivyotoa wimbo wa Mwana, safi sana....
Mimi sikumpigia kura Christian Bella sababu ya huyu mnakfi Dimpoz.

Yaani huyu nayeeee!! Bila kiba kwenye nai nai cjui ingekuwaje, hana shukrani boya huyu, mie walaaa sijawahi kumkubali sijui kwann!
 
Jamani huyu mnafki kimemkuta kipi hadi akajipendekeza kwenye tuzo za King? Yeye si alimkaushia hadi support hakutoa King alivyotoa wimbo wa Mwana, safi sana....
Mimi sikumpigia kura Christian Bella sababu ya huyu mnakfi Dimpoz.

mwaka huu amechekechwa hapo anatafuta kick huyo
 
Guuuud night the royal family, nalala usingizi mtamuuuu huku natabasamu tu, lap you all😀
 
Sebule hii noma, kuna watu wawili tu hapo kamebana mnooo, hapo king itakuwa alilipwa elfu kumi tu kwakweli ukijumlisha na zile tuzo alizodhulumu wenzie ndio balaa tupuuu, muone vile
KING mkubwa weee!

Tena dimpoz zake kabisa huyu King!
Kwanini anyime wenzake usingizi?? Aghaaaa!
 
Jamani huyu mnafki kimemkuta kipi hadi akajipendekeza kwenye tuzo za King? Yeye si alimkaushia hadi support hakutoa King alivyotoa wimbo wa Mwana, safi sana....
Mimi sikumpigia kura Christian Bella sababu ya huyu mnakfi Dimpoz.

Aisee mbona mtaumaliza mji kwa kuchukia kila mtu kubalini nyie vidada mna tatizo la kisaikolojia. Jikubalini even if outlook ni mbaya na wallet zenu hazisomi.
 
Naomba msaada wa ile comment iliyowekwa hapa ikiorodhesha zile tuzo za Ali kiba
 
Back
Top Bottom