noel robart
Member
- Jun 4, 2015
- 75
- 23
Hapo sasa
nyota za majini
Mtunzi bora ni Yule anayetunga nyimbo zanye ubora na tamu. B boy kafanya hivyo 2014
B boy hufanya hvyo kila mwaka sio tu 2014
Cha ajabu mwaka huu ndio mumemshikia bango
Vipi kuhusu miaka iliyopita waliochukua utunzi bora mbele yake walistahili?
Mkuu naomba iyo picha kwenye avata yako nimeona kama ni ali kiba. Nataka nikawawekee majirani zetu kwenye uzi wao
View attachment 260201
View attachment 260202
Aya kumekucha wale watu wa sensa naomba watuhesabie watu hapo sebuleni na KTMA wanapendelea mpaka Dallas uko.
cc😡nifah do the needfull wengine sisi waoga katuulizie kwa jirani.
Aisee mbona mtaumaliza mji kwa kuchukia kila mtu kubalini nyie vidada mna tatizo la kisaikolojia. Jikubalini even if outlook ni mbaya na wallet zenu hazisomi.
Mbona unamkalia nifah kooni?
Stop being too personal, its bad for your health.
Mimi nawewe ni mashabiki tu.
Mnakazana sisi tunamchukia dai kisa sio mashabiki zake.
Sisi wachawi, maskini, hatuna akili wapuuzi, wajinga, sio wazalendo na ni wa kupigwa na kila tusi weka hapo....
Ila guess what!, HATUBADILIKI !
Kwahyo kuwatungia watu ndio kunafanya uwe mtunz bora
Khaakhaakhaa
Mkuu nishawawekea na nashukuru mungu washaanza kuelewa.
Nimegeuka kedrick gafla watafurahi na shoo
Hahahahaaa, waoneeni huruma wenzenu jamani wako likizo!
Loooo chikubaliiii mimi hapa ntawalipizia avatar.
Mtunzi bora ni Yule anayetunga nyimbo zanye ubora na tamu. B boy kafanya hivyo 2014