Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kwa hapo walaaaa hawaoni wanaona ya kiba tu, ujue mie siwaelewi hao team nyodo wanayolalamikia ndio wanayofanya, au nfio ile kunya anye kuku!

yani domo kila kitu et anaonelewa mara oh wanataka wamshushe sasa kwa lipi hasa ila bum bum mkuuu hapanaaa mi ckubaliani nayo aisee bora nasema nawe kuliko ile
 
Badala ya kwenda kunya barabarani wanajinyea wenyewe, Kibaaaaa waumize baba

ila tuzo za mwakani diamond atakuwa pamoja na mzee yusuph na mashauz kwenye category ya taarab anaweza akachukua hahahaha KIBA 4really
 
ndo wamekariri hao. wanataka wapate wao. zamu yetu sasa #kingkiba

Trust me wangepata wengine walaaa wasingeona km kuna tatizo, shida inakuja kwakuwa kapata King, walipozizoa zote hawakuwaona akina Barnaba na Belle 9?? Wakati ndomo kwa Barnaba,Belle 9,Mavoko,Jux n.k hanusi hataaa kidogo, sema tu he is strategic thats it, mbona hakurudisha tuzo hata moja akaseme hii ilimfaa mavoko? Kapata Kiba watu mapovuuuuuu, nyokolo zao.
 
Trust me wangepata wengine walaaa wasingeona km kuna tatizo, shida inakuja kwakuwa kapata King, walipozizoa zote hawakuwaona akina Barnaba na Belle 9?? Wakati ndomo kwa Barnaba,Belle 9,Mavoko,Jux n.k hanusi hataaa kidogo, sema tu he is strategic thats it, mbona hakurudisha tuzo hata moja akaseme hii ilimfaa mavoko? Kapata Kiba watu mapovuuuuuu, nyokolo zao.

dah c ndo hapo sasa mbona 20% na domo walivyochukua ni sawa ila kiba ndo kapendelewa hahaha haya kama huku ktma kaonewa ngoja tuone huko mtv
 
Trust me wangepata wengine walaaa wasingeona km kuna tatizo, shida inakuja kwakuwa kapata King, walipozizoa zote hawakuwaona akina Barnaba na Belle 9?? Wakati ndomo kwa Barnaba,Belle 9,Mavoko,Jux n.k hanusi hataaa kidogo, sema tu he is strategic thats it, mbona hakurudisha tuzo hata moja akaseme hii ilimfaa mavoko? Kapata Kiba watu mapovuuuuuu, nyokolo zao.

ndo hapo sasa kisa kiba wanachonga sana. kura hawajapiga kazi kupiga kelele tu. kwanza alisema asipigiwe kura. #kingkiba daima
 
Kwani wanalalamika nn tena? Wao si intaneshino jamani, hizi local kwani si walisema hawazitaki? Au ndio aliona dalili ya mvuaa?? Yaaani nacheka cheeeka mwenyewe tu, King tusonge mbele nyuma mwiko and noo majivuno

Woyooo
Ama speechless you know!
Wivu tu na roho mbaya ndio tatizo lao.
 
Ms.Lincoln utabiri umetimia, as usuaaaal akuuuu sie twacheketua tuuu kwa raha zetu kwa taabu zao

Umeona eee...na video bora ya mwaka ujao ni Cheketua ambayo ishakwivaa!
Natabiri dhoruba kaliii na kujinyonga kwa baadhi ya mashabiki wa team ndomo.
Wengine watajikamulia limao machoni ioi wasiione maana ni balaah!
Watachambia pilipili ila haitasaidia..
K 4 real..
 
Last edited by a moderator:
yani domo kila kitu et anaonelewa mara oh wanataka wamshushe sasa kwa lipi hasa ila bum bum mkuuu hapanaaa mi ckubaliani nayo aisee bora nasema nawe kuliko ile

Tukisema ukweli eti oooh "hamtaweza kunishusha" kwani alijipandisha?? Wao wanavyomuonea Kiba je?? Na matusi ya kila aina washamtukana mtoto wa watu ila Kiba walaaa hana makuu, tunajivunia mlocal wetu aliye bora.
 
Kuna yule jamaa alisema Kiba akizizoa tuzo atakunya mafungu mafungu sijui kuanzia wapi mpaka wapi, cjui nimtafute nimsaidie maana najua ma-vi yatakuwa yamemuisha now

Amelazwa
Alishazirai muda mrefuuu
 
ila tuzo za mwakani diamond atakuwa pamoja na mzee yusuph na mashauz kwenye category ya taarab anaweza akachukua hahahaha KIBA 4really

Bora ahamie huko maana huku kushamshinda, mara ngololo mara cjui madudu gani alafu eti best male, watutue huko
 
Woyooo
Ama speechless you know!
Wivu tu na roho mbaya ndio tatizo lao.

Wana wivu na Kiba mbaya kweli, na kama ndomo hatopata tuzo huko wanakodai intaneshino wajue wao ndio walomsababishia na uduwanzi wao, kutembelea ikulu unajiona ushakuwa rais!!! Nyambaaafu wivu ni kidonda na ukishiriki haya ndio matokeo yake then waugue pole, uwiiii leo hata njaa sihisi jamani, king kajua kuniweza!
 
Trust me wangepata wengine walaaa wasingeona km kuna tatizo, shida inakuja kwakuwa kapata King, walipozizoa zote hawakuwaona akina Barnaba na Belle 9?? Wakati ndomo kwa Barnaba,Belle 9,Mavoko,Jux n.k hanusi hataaa kidogo, sema tu he is strategic thats it, mbona hakurudisha tuzo hata moja akaseme hii ilimfaa mavoko? Kapata Kiba watu mapovuuuuuu, nyokolo zao.

Tena nyokololest kabisa!
Hao team uharo sijaona hata mmoja akimpigia debe barnaba wala nani wote walikuwa wanampromote mondi wao na walijigamba atanyakua 8 leo imekuja kinyume na matakwa yao ndo wanawakumbuka na wengine ila ka wangezizoa ka walivyokuwa wanajitapa hakuna hata mmoja ambae angekosoa wala kumkumbuka si cha barnaba, belle9 wala christian bella.....wallah Kiba amejua kuwafunga watu haja!

Hata huo utumbuizaji bora wao waliokuwa wanautaka ni zero tu. Style zilezile tu za kwaya....kila mtu anazicheza, ntaachaje sasa kulipenda dance la mwana na shangwe za Fiesta na kiboko yao concert! Pyeeeee halafu hata kura hawajui kupiga. Na boss wao alivyomswahili kila siku analopoka na ule ujinga wake mxiiiiuuuuuu bure kabisa!!!

Kuna kauli moja Kiba alishawahi kuisema kwenye Kitangoma kuwa atauachia mziki wake uzungumze.....now see what we are witnessing today!!! Yaani nyimbo ya mwana imefunika kotekote na ingekuwa inaruhusiwa na mwakani ingewajambisha tu!!! Nyimbo inaishi mithili ya umri wa binadamu hulalalaaaa!!
Na chekecha cheketua lazima ije kuwachapa fimbo incase hawajui hilo!
 
Mwana FA alipohojiwa why alimchagua kiba kufanya naye colabo allitoa boooonge la jibu, alisema yeye hajutii kabisaa kumchagua Kiba kufanya naye colabo maana anajua alichokuwa anakitaka na kukitafuta(haswaaaa sauti nzuri) haangalii nani kafika wapi ili aupush muziki wake bali anaangilia ubora, waaaaah maneno kuntu hayooooo, wajuvi walaaa hatupati shida maana tunaelewa
 
Umeona eee...na video bora ya mwaka ujao ni Cheketua ambayo ishakwivaa!
Natabiri dhoruba kaliii na kujinyonga kwa baadhi ya mashabiki wa team ndomo.
Wengine watajikamulia limao machoni ioi wasiione maana ni balaah!
Watachambia pilipili ila haitasaidia..
K 4 real..

Na nyuzi zitafunguliwa hatari, Kiba anapelekesha watu hajui tu mtoto wa watu
 
Avemaria team ndomo ni wanafiki hatari wakiongozwa na lile babu jinga lao, hao akina barnaba wanaowasema wapi waliwapigia promo??? Walitegemea kura zinajipiga tuuu au kisa kashinda King himself??

Wataongea sanaaaa ila watanzania ndio tushaongea atiiii, tujitukane tuuuu sijui watz nini na nini ila haitobadili ukweli kwamba hakuna kitu kizuri kama kuthaminiwa nyumbani it counts alot, mcheza kwaooooooooo........., mkaidi hafaidiiii..........
 
Last edited by a moderator:
Avemaria umenifurahishaaaaa, ngoja nami nikatafute picha moja matataaa ya king nitupie avatar, pop it innnnnnn
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom