Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,280
lini tena kuna kupiga kura jamani nianze tena
Yaaani natamani mwaka mzima tungekuwa ni kupiga kura tuuuuuuu, mbona wangekoma!! Taratiiiiibu tu tutafika kule tunakokutaka, walaaa hatuna papara sie kila kitu kwa utaratibu