Guuuud night the royal family, nalala usingizi mtamuuuu huku natabasamu tu, lap you all😀
Aisee mbona mtaumaliza mji kwa kuchukia kila mtu kubalini nyie vidada mna tatizo la kisaikolojia. Jikubalini even if outlook ni mbaya na wallet zenu hazisomi.
Poleni sana team DOMO!
Leo nimeona matusi yenu na kashfa zote nimeona jinsi gani KibA amewatibua nyongo.
Pop it In!
Kwa jinsi nilivyofuatilia ili bifu naona kabisa kiba na wasanii wengine ndio wanatengeneza mabifu ila Chibu yuko kimya na kama unabisha msikie dudu baya apa nn alosema
Watch "udubaya kuhusu Wasanii wa bongo wanaotembea na bodyguards, Ali Kiba na Diamond, kulogana na mengine" on YouTube - https://www.youtube.com/watch?v=i5_f3DPIr54&feature=youtube_gdata_player
Kama una link ambayo ilimuonyesha Diamond akimsema vibaya King wako naomba utuwekee ili tuitimishe mjala
Nyota za majiniMtakufwaa midomo wazii..!!!acheni wivu kila mtu na nyota yake hapa mjini buanaa..
hujajua nini kinaendeleaWabongo bana Kura hampigi kazi kulalamika kwenye mitandao
Kwahyo kuwatungia watu ndio kunafanya uwe mtunz bora