Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nampenda Kiba, leo lazima atupe raha .
Natabiri kujamba jamba kwa team ndomo na kuhara hara kwa malalamiko na kuwayawaya....
Ms.Lincoln utabiri umetimia, as usuaaaal akuuuu sie twacheketua tuuu kwa raha zetu kwa taabu zao
 
Last edited by a moderator:
Umejuaje ana hate hvi nyie mashabiki wa domo mbona huwa mnajitoa ufahamu hivi sasa kuja kukutika kwenye Uzi wa mwanaume mwenzenu special hammuoni kuwa mnamzalilisha msanii wenu.
Ushabiki upo tu msitake Ku force kila mtu ampende huyo domo.
You guys needs to grow up and act like people who are matured.
Msanii wenu ni bora lakini kutwa kuhangaika na Ali kiba .
Diva Beyonce wanajua fikaaaa the way King anavyowanyima usingizi, hayo maneno wanaongeaga kujipooza tu, ila wakikaa wanamsikiliza king tu alafu moyoni wenyewe wanajisemea 'aisee huyu Kiba ni kiboko yetu"
 
Last edited by a moderator:
Yule mbabu mtoto ana mahaba na ndomo balaa hawezagi kujizuia, km namuona alivyokuwa anabanwa suruali kila jina la king likitajwa, ila ndio tushampa tuzooooooooo, waongeee weeee ila wasisahau hata ndomo wakati anazizoa kuna watu walilalamika sooooo haidhuru

atoto yule mzeeee sio mzima kiakili yani zeee zima linahangaika na domo et apewe tuzo nyambafuuuu hna kazi za kufanya yule
 
yani nikose kazi niipigie bumbum kuraa hata mungu atanilaani wallah

Hahahaaaaaa!! Umenifanya nicheke bila kutarajia, hv kumbe na bum bum imo!!! Kweli sasa mtv wamechoka
 
Hahahaaaaaa!! Umenifanya nicheke bila kutarajia, hv kumbe na bum bum imo!!! Kweli sasa mtv wamechoka

hawezi chukua aisee davido wizikidayo(aroow) no no no nasema no kibaaaaaa made my weekend prety
 
et clouds wameandika hapybirthday kiba kwani jana ni birthday ya kiba jamaniii pop it in in kiba voice papireeee papireee kiba square KING KIBAAAAAAAAAA 4realy
 
et clouds wameandika hapybirthday kiba kwani jana ni birthday ya kiba jamaniii pop it in in kiba voice papireeee papireee kiba square KING KIBAAAAAAAAAA 4realy

He is back you know, and he is back for real, wimbo mmoja tu umejambisha watu hatariiii, sie vitendo tu maneno tupa kuleee
 
hawezi chukua aisee davido wizikidayo(aroow) no no no nasema no kibaaaaaa made my weekend prety

Teh teh teh teh, uwiii naiona na compaign insta mbona balaa hii, ndomo ajitathmini tu hizo nyodo zitamfikisha pabaya
 
Hahahaaaaaa!! Umenifanya nicheke bila kutarajia, hv kumbe na bum bum imo!!! Kweli sasa mtv wamechoka

et mkuu niichague best collable of the year haki ya mungu mi sielewi wanaangalia nn bumbum
 
Hahahaaaaaa!! Umenifanya nicheke bila kutarajia, hv kumbe na bum bum imo!!! Kweli sasa mtv wamechoka

naskia kumbe ukitaka kuingia katika zile tuzo kigezo chao kikibwa mpaka umshirikishe mnigeria au msanii yeyote wa south afrika ila jamani bumbum hapana bora nimpe davido na araphat
 
Yaaani furaha ya ajabu, japo sikufanikiwa kuziangalia ila nimefurahi kweli, hata njaa siipati leo kila wakati nacheka

mkuu basi umekosa rahaa kumbe hukuangalia tuzo ya mwisho ya kiba kaitoa paulo makonda mkuu wa wilaya kinondoni aisee ilikuwa raaaaa sana janaaaaa haki ya mungu
 
Back
Top Bottom