Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

et mkuu niichague best collable of the year haki ya mungu mi sielewi wanaangalia nn bumbum

Kwa hapo walaaaa hawaoni wanaona ya kiba tu, ujue mie siwaelewi hao team nyodo wanayolalamikia ndio wanayofanya, au nfio ile kunya anye kuku!
 
mkuu basi umekosa rahaa kumbe hukuangalia tuzo ya mwisho ya kiba kaitoa paulo makonda mkuu wa wilaya kinondoni aisee ilikuwa raaaaa sana janaaaaa haki ya mungu

Yaani naumia hatari ila ndio hivyo sikuwa na jinsi nimekosa the event of the year jamani, hata humu sikuweza kuingia asubuhi hii ndio naingia nakutana na magud neeeeeews yaani na njaa yote ikakata, Kiba ananipa raha sana.
 
naskia kumbe ukitaka kuingia katika zile tuzo kigezo chao kikibwa mpaka umshirikishe mnigeria au msanii yeyote wa south afrika ila jamani bumbum hapana bora nimpe davido na araphat

Yeah wale watu ni wabaguzi hatari hadi ujipendekezeee kwao, ila sie tunavyowashobokea ss media zetu full kupiga miziki yao, hahahaaaa huo bum bum hata siukumbuki vzr ila ulikuwaga mbovu mnooo
 
Kuna yule jamaa alisema Kiba akizizoa tuzo atakunya mafungu mafungu sijui kuanzia wapi mpaka wapi, cjui nimtafute nimsaidie maana najua ma-vi yatakuwa yamemuisha now
 
Kuna yule jamaa alisema Kiba akizizoa tuzo atakunya mafungu mafungu sijui kuanzia wapi mpaka wapi, cjui nimtafute nimsaidie maana najua ma-vi yatakuwa yamemuisha now

Msamehe tu

Kwasababu kaka ake lemutuz mutu mpana

Amemsaidia kujinyea
 
Jamani huku nitakuja baadae ngoja niende instagram kwanzaaa.
Ila hongereni kwa kazi nzito na nzuri tuliyoifanya.

Kwakweli acha tufurahi maana sio kwa juhudi zile, watu wamenunaasa ugali hauivi, teh teh
 
Jamani rahaaaaaaaa sanaaaaaaa kiba oyeeeeeeeeeeeeeeeeee

Kiba is our promised son, from a chosen. And gifted generation.

#TEAMGOODMUSIC au kuna mtu kanuna?
 
hamna namna zaidi ya kura #kingkiba anajua

Eti ooooh roho mbaya sijui kumshusha ndomo, mbona wao wanataka kumshusha kibaa au wao ni miungu? Na maneno ya shombo eti muda wake umeisha!! Kwahiyo wao kwahili ndo wanaupandisha muziki wa bongo??? Wakwendeeeee
 
Eti ooooh roho mbaya sijui kumshusha ndomo, mbona wao wanataka kumshusha kibaa au wao ni miungu? Na maneno ya shombo eti muda wake umeisha!! Kwahiyo wao kwahili ndo wanaupandisha muziki wa bongo??? Wakwendeeeee

ndo wamekariri hao. wanataka wapate wao. zamu yetu sasa #kingkiba
 
Back
Top Bottom