Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Hiyo hapo mkononi kwa King si iPhone 6 jamani? Maana kuna limburula huku linasemaga King anatumia tecno sijui!
Mamii kwani king hata viatu anavyo basiii, anavaaga ndala tu.
Hiyo hapo mkononi kwa King si iPhone 6 jamani? Maana kuna limburula huku linasemaga King anatumia tecno sijui!
Ata mimi nimewaona mamy ila nilichogundua wanajua kabisa wakianzisha uzi wa kumponda kiba watapata comment nyingi sasa imekula kwao ata niitwe mle siendiiii
+Yeah team mond team akili kubwa hatuna kwere na msanii underground yoyote akitusua kimataifa japo kwa wiki 1 tunampongeza.
+nyie mnaosema fotoshop msituabishe , ilipigwaga buana japo ilipigwaga haikudumu hata wiki 2 lakini ilipigwagaaa!
Jaribu kuelewa aiseee, una favorite wako Nina favourite wangu,cjasema kwamba sikubali juhudi zake,
Kiba kakiri wapi kwamba hakubali juhudi za diamond?
Muda huu wa kuandika upumbavu hapa ungeutumia kwenye kilimo cha kufa na kupona ungeshajiondoa kwenye kundi la malofa.
Jombaa hiyo mbinu yako uliyoianzisha....honesty sijaipenda kabisa.
Sijui kwanini nikiona hayo ma ++ kichwa kinauma balaaa!
Ni ushauri tu lakini...take it or leave it.
Hahahahahaa, ujue wanafanya vile maana wamemiss ligi na sisi.
Sasa mimi nikiona vile napotezea tu, halafu kaandika utumbo mtupu kidogo nimjibu basi tu.
+kwanza mbinu gani nilioianzisha? Ya ma+++ au? Ha haa haaa natamani kujua!
+halafu kipi kinachokukera kwenye post zangu, ni hoja au kuna kingine:what: fungukaaa usiogopeee!
+pole kwa kichwa kuuma jibu hayo maswali yangu hapo juu ushauri utakua umekamilika.
+jf burudani sana ha haa haaa 😀😀😀
Hahahaaaa team kiba na sisi ni ma celebrity...
Pona yao ni mwezi Ramadhan tuu ndo watapumua
Na mie tayari
Hahaha ushindani mpaka kwenye simu noma kweli"
Hongera zake, Ila sijawahi kuwa mshabiki wa Alikiba. Huwa hana kitu chochote cha kunishtua hasa katika muziki, Hapa nazungumzia sauti yake (siipendi kwa kweli), kucheza kwake na swaggerz ila as long as anamashabiki wake, Good for him and his fans. Ila a guy is mcute jamani lol!
Wewe unashangaa simu?.......basi tu ngoja nisiseme.
Hapana, umenielewa vibaya.Mimi namaanisha hiyo sijui ni mbinu (ya kuwa unique) au swaga sijui unajua mwenyewe...
Yaani kila aya unaanza na +,ndio kama nilivyosema.....kwani kuna ubaya nikikuambia?
Halafu hayo maswali yako sina time nayo maana hapa sio shule, leo niko kiburudani zaidi sitaki ligi au kujibu maswali ya mtu.
Hata akijamba wanasema kajamba kama ndomo, hv angekuwa anashindana nae si ngoma zingekuwa zinatoka kila mwezi!! Lkn katuliaaa anafanya kwa mipango sio kukurupuka tu, ila ndio hivyo lazima waseme tu, alafu anaanzaje kukurupuka kutoa toa minyimbo wakati mwana,cheketua,mapenzi yanarun dunia,mak muga,dushelele nk mpaka leo ukizisikliza ni kama zimetoka leo asubuhi