Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Aisee!
Kwa iyooo sasa....ndo kusema....
Last edited by a moderator:
Anti kala maharage ya wapi aisee anayaporomosha matusi ka hana akili nzuri. Atakua kweli mume wa mtu hilo povu alilolitoa.
Mhhhhhhh! Aunt nae si ndio walewale tu, kwake hivyo kawaida sana.
Kesho stay tune at MTV base channel namba 320 on dstv
Yaani mtoto anavyofichwa tuu..
Yaan mimi sielewi kweli mtoto anabebwa kwenye kapu sijui ndo nini hiyo.. au ndo mimi mshambaa?
Baada ya domo kutembelea nyota ya h baba mwanza hamshindwi kusema anamng'arisha kiba.Kesho stay tune at MTV base channel namba 320 on dstv
Baada ya domo kutembelea nyota ya h baba mwanza hamshindwi kusema anamng'arisha kiba.
Hahahaaaaa
H baba toka 2013 ana mchukia diamond ilo linaeleweka mbona
Ila lazma mkubali kua h.baba mwanza anakubalika.
watu wa mwanza huwaambii kitu kuhusu h baba.
Unajua kwa nini h.baba alisema wale watu ni wakwake?
Nilikuwa mwanza kipind flan h.baba alikuwa na shoo kirumba pale alijaza watu nyomi haswa tena zaidi ya wale wa juzi.
Ndio ana kubalika n sawa sawa n afande sele anavyokubalika morogoro
Apo umenena.. sasa mnachojishaua kuwa h.baba alitembelea nyota ya domo ni nini? Ikiwa h baba ndo alijaza ule uwanja?.acheni masifa ya kijinga
H.baba alianza kuwa maarufu kabla ya diamond ila cku izi diamond yupo juu ya h.baba
Aya tuachane na hayo.
Vipi wew kila siku unakuja kupiga bla bla huku mbona hutubandikiagi matangazo yako kuwa unauza njiwa?
Au hautaki tuwe wateja wako?
Kweli sisi wambea mwaka huu hatuambulii kitu
Hahahaaaahaaaaaaa mbavu zangu mieee..
Alafu alikuwa anajipraudi nimetoka chuo kumbe kapeleka njiwa mnadaniii
Kesho stay tune at MTV base channel namba 320 on dstv
Anauza mijusi, mayai ya kenge na samaki pori.
Ila too bad ana roho ya kichawi hana wateja kabisaaaa