Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mhhhhhhh! Kazi ipo hapo.Mimi siwezi date na mwanaume mwenye mambo ya kiswahili hata siku moja.
Hivi kama anaandika hivi mitandaoni huko ndani si itakua ni mwendo wa kuchambana tu?

Hahahaaaa! Uwiiii kanti imagini zati intaneshino thing, duuuh mtu na mumewe wanachambana!!!
 
Mhhhhhhh! Kazi ipo hapo.Mimi siwezi date na mwanaume mwenye mambo ya kiswahili hata siku moja.
Hivi kama anaandika hivi mitandaoni huko ndani si itakua ni mwendo wa kuchambana tu?

Au janaume mbeya mbeya na kiropo kama le matakoz...
 
Ndo mana sipendi vitabia vya kiswahili Swahili. Tena mwanaume mzima na maneno ya shombo bora ingekua hata mwanamke sijawahi kuona mwanamziki ana uswahili hivi unachamba mashabiki hadharani eti Mara maumivu yakizidi kamwone daktari really! Ya kuwaambia mashabiki hayo. Na yeye ataanza kuzila hizo ndimu ndo atatia akili.

Ha ha ha....
Uwiii
 
Diva mpenzi tugonge cheers kwa ile kazi ya ukweli yuliyoifanya leo.
 

Attachments

  • 1432824590193.jpg
    1432824590193.jpg
    54.3 KB · Views: 51
Wewe tena mpenzi? Ndio maana nawapenda sana Kiba Fans wenzangu.Hata tukosane vipi hatugombani hadharani tunavumiliana kama ndugu.
Mmeifanya JF kuwa sehemu salama ya kuishi.
♥♥♥ Kiba Fans ♡♡♡

Pamoja sana mamy...yaani sisi zinaiva haswa yaani.
Mimi pia najipraud kuwa fan wa alikiba afu nikakutana na nyie ma fans wa ukweli..
Together tunawakilisha.
 
Jamani nyie watu mmenivunja mbavu zangu.
yaani nipo kwenye dala dala ni mwendo wa kuangua vicheko..
 
Jamani nyie watu mmenivunja mbavu zangu.
yaani nipo kwenye dala dala ni mwendo wa kuangua vicheko..

Hahahahahaa hatariiii.Kiba fans wananipa raha sana aisee, sio wewe tu leo nimecheka hadi kichwa kinaniuma!
 
Back
Top Bottom