Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,201
Mhhhhhhh! Kazi ipo hapo.Mimi siwezi date na mwanaume mwenye mambo ya kiswahili hata siku moja.
Hivi kama anaandika hivi mitandaoni huko ndani si itakua ni mwendo wa kuchambana tu?
Hahahaaaa! Uwiiii kanti imagini zati intaneshino thing, duuuh mtu na mumewe wanachambana!!!