Hahahahahaa sasa hivi sijui ndio anasafisha banda?
Ndo anafungia njiwa..atakuja muda c mrefu..hahahaaa
Hahahahahaa sasa hivi sijui ndio anasafisha banda?
Sasahivi anastress njiwa hawana wateja, alafu kuna walioondoka hawajarudi, basi anabanwa kila mahali
Hahaaaaa jamani leo nimecheka aisee. Atakua ana safisha banda huyo.
Hahahahahaa jamani akirudi itabidi atugawie japo kanjiwa kamoja maana sijawahi kumla kabisa yule ndege.
Na atajibeba mwaka huu. Amwambie chibu awe ana mlipa hata mshahara ili aongeze mtaji aachane na biashara ya njiwa.
Hahahahaaaaa yaan kila siku ni matangazo jamani njiwa kwa bei nafuu.... weka picha kwan anaweka sasa
Na atajibeba mwaka huu. Amwambie chibu awe ana mlipa hata mshahara ili aongeze mtaji aachane na biashara ya njiwa.
Hahahaaaa!! Biashara imedoda, kumbe ndio maana alikuwa anajichetua ati aweza kumlisha sijui nani na familia yeke, sijui nani alimwambia wanakula njiwa!!
Hahaaaa imemdodea kweli kweli hyo familia angeilisha njiwa wala isingetosha mana njiwa ni wadogo.
Hahahaaaa!! Biashara imedoda, kumbe ndio maana alikuwa anajichetua ati aweza kumlisha sijui nani na familia yeke, sijui nani alimwambia wanakula njiwa!!
Njiwa na dagaa.