Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
:thumbup::thumbup::thumbup:safi sana ngoja nipige kura.
Ama nini? Watu na mabando yetu ya unlimited bwana.
Tunafanya yetu halafu watu wanabaki kulia lia tu.
:thumbup::thumbup::thumbup:safi sana ngoja nipige kura.
Jamaa samahan naomba kuuliza hivi kupga kura kili music award ni mara moja tu??naomba jibu mm nmepga kwa namba yao ya whatsapp
Oyooooo, jamani nimeshafanya yangu kama hivyo.Vipi cute b tunavote mara ngapi?
Kama ni sawa na tuzo za watu sema nikafanye mabalaa huko maana sina shida ya bundle linanisumbua hapa.
Anatanga na kichanga kutwa kiguu na njia
Na nani ampe rupia iende pasi na fadhila
Madhira anayopata nikimwona namuhurumia
Natamani arudi kwangu ila kumwambia sio sawaaa
Mimi na yule (yuleee) tulioana yulee
Maji ya mapenzi aloonyesha yalifuata mkondo yakaenda...
Na radi ikapiga kuonesha kwamba nilimpenda sana
...
Mimi na yule (yuleeeee) tulifunga ndoa
Arakata tatatataaaa dulesheleee dusheleeee
kedrick utahanja sana ila kwenye le royal family hunusi!
Ni mwendo wa kuvote tu wale wa mb 8 sunna yao WhatsApp na kwenyewe mara 1 tu heheh pole yao!
Oyooooo, jamani nimeshafanya yangu kama hivyo.Vipi cute b tunavote mara ngapi?
Kama ni sawa na tuzo za watu sema nikafanye mabalaa huko maana sina shida ya bundle linanisumbua hapa.
Mwenyewe shafanya yangu mapema ikaniletea hivo. Upigaji kura huh ni mzuri hauna complications namiupenda bure.
Mwenyewe shafanya yangu mapema ikaniletea hivo. Upigaji kura huh ni mzuri hauna complications namiupenda bure.
Hata mimi nimeupenda sana kiukweli.Mimi ninazo email mbili ngoja nitabadilisha hii iliyopo sasa niweke nyingine nipige tena.
Itakua poa mi na vote kwa simu nyingine.
Uwiiiiiiij! Shoga Le Mutuz kaja kwenye ule uzi wa Le Tamkoz kua King hakustahili ushindi....
Leo ni leo.
Anataka nini sasa yule nili shampuuzia tu hana jipya na ile ni kazi yake kulipwa ukubwani ngoja niende nikaangalie.
Itakua poa mi na vote kwa simu nyingine.
Nishavote mara nne, yaani naomba simu za watu naingia fasta navote, sasa naanza ufisadi wa kubadili email
Anataka nini sasa yule nili shampuuzia tu hana jipya na ile ni kazi yake kulipwa ukubwani ngoja niende nikaangalie.
Achana na yule babu jinga hata sina muda wa kuumizana vidole na yeye.
Muache aandike magazeti yake huko hadi achoke.
Hahaaaa babu weee ni sikio la kufa yule attention seeker kuhangaika na babu ni shiiider.