Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ni kweli mamy mimi nimeshaenda kuchamba na hii hii id yangu og ila nashangaa hawani quote niwashikishe adabu

Hahahahaaa kuna mpumbavu mmoja naona anatafuta league sana.
Lakini kutokana na kumchunguza na kuona ni mtupu kichwani hana hadhi ya kua na league na mimi ndio maana nampotezea tu.
Angekua smart upstairs ningeshamvaa zamaaniiiii.
Ila namuangalia tu, siku yake inakuja.
 
Hahahahaaa kuna mpumbavu mmoja naona anatafuta league sana.
Lakini kutokana na kumchunguza na kuona ni mtupu kichwani hana hadhi ya kua na league na mimi ndio maana nampotezea tu.
Angekua smart upstairs ningeshamvaa zamaaniiiii.
Ila namuangalia tu, siku yake inakuja.

Mpotezee mamy usihangaike na mtu ambaye hana hadhi..mi mwenyewe nadeal na wale wanaojion ma celebrity wa domo vingine ambavyo sijui vimetokea wapi napotezea
 
Two Rockstars signee, Ali kiba and Keko will be featuring on this year's coke studio africa;
26 of Africa,
52 new songs,
9 world class music shows

Wow! Nimefurahi sana kusikia hivi.Bora mwaka huu nimuone King kwenye studio za coke Africa.
 
Two Rockstars signee, Ali kiba and Keko will be featuring on this year's coke studio africa;
26 of Africa,
52 new songs,
9 world class music shows

Mbona Ben pol hujamtaja halafu ivi mnamjua keko
 
Jiandeni diamond platinums ft Mr flavour #bet wimbo ushapelekwa
 

Attachments

  • 1432756493431.jpg
    1432756493431.jpg
    37.4 KB · Views: 56
I
Ukiachana n shoo za south Africa, Nigeria, Ghana, Cameron, Togo, n Angola pia izo n za bongo Moshi date 24/7/2015 tanga 8/8/2015, chekecha cheketua tour imeishia wapi Ali sema Tanzania nzima atatembea 😀😀 angojea ela za kili awards aendelee:what:

Hivi we Appoh una matatizo gani?
Kwanini usipeleke hizo habari kwenye uzi wa ndomo, kwani sie zinatuhusu?

Moderator mtu kufungua ID nyingine sio mbaya saaaana as long as anaitumia positively. Sasa inakuwaje kwa huyu mtu anatumia ID mpya kwa ajili ya kuwachokozea wenzie?
Yaani siku hizi mtu akishindwa kuwaface wenzake utaona anakimbilia kufungua mpya mfano wa yule zingifuri......hivi humu patakuwa mahali salama kweli endapo huu mtindo utaendekezwa?!!

Huu mtindo unakera, najaribu kufikiri siku ambayo mie nikiamua kuja na ID mpya alafu namlipua mtu kuanzia maisha yake ya humu jf mpaka kwenye other social networks na maisha yake halisi....mtaniacha kweli nyie moderators? Maana sasa hawa watu wanakera aisee
 
Last edited by a moderator:
I

Hivi we Appoh una matatizo gani?
Kwanini usipeleke hizo habari kwenye uzi wa ndomo, kwani sie zinatuhusu?
Moderator mtu kufungua ID nyingine sio mbaya saaaana as long as anaitumia positively. Sasa inakuwaje kwa huyu mtu anatumia ID mpya kwa ajili ya kuwachokozea wenzie?
Yaani siku hizi mtu akishindwa kuwaface wenzake utaona anakimbilia kufungua mpya mfano wa yule zingifuri......hivi humu patakuwa mahali salama kweli endapo huu mtindo utaendekezwa?!!

Huu mtindo unakera, najaribu kufikiri siku ambayo mie nikiamua kuja na ID mpya alafu namlipua mtu kuanzia maisha yake ya humu jf mpaka kwenye other social networks na maisha yake halisi....mtaniacha kweli nyie moderators? Maana sasa hawa watu wanakera aisee

Sasa umemaindi nn kwan mie nimekutukana maumivu yakizidi kamuone daktari 😀 me nawapa changamoto tu au nime Ku cyber bull
 
Last edited by a moderator:
Jiandeni diamond platinums ft Mr flavour #bet wimbo ushapelekwa

Uzi wenu mbona una page mbili tu kwanini msiende kudiscuss huko mambo yenu?
Na kwanini mkae mnafungua ids mpya kwa ajili ya kufanyia upuuzi?

Hapo ndo mnaona sifa wenyewe?
Shenzyyyy zenu tisini na nane nyie!
Tafuteni njia nyingine ya kutokea basi....hii ya ids mpya inachosha!
 
Sasa umemaindi nn kwan mie nimekutukana maumivu yakizidi kamuone daktari 😀 me nawapa changamoto tu au nime Ku cyber bull

Peleka habari zenu huko!
Changamoto ndo mpaka uje na username mpya??! Msonyoooooooo

Kesho na keshokutwa mkizidiwa ndo mnaenda kuanzishia wenzenu threads....mnaona sifaaaaa!!!
 
Peleka habari zenu huko!
Changamoto ndo mpaka uje na username mpya??! Msonyoooooooo

Kesho na keshokutwa mkizidiwa ndo mnaenda kuanzishia wenzenu.....mnaona sifaaaaa!!!

Krbu wcb nafasi bado zipo maana tumewazidi kila kitu loh to reach these height's u gonna need g3 4 5 6 mics
 
Back
Top Bottom