unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,046
Hahahahahaaa leo nina raha sana.Haijapita hata wiki tayari ndimu zimewarudia wao.
Tuwapigie kura Sauti Soul jamani, vijana watutoe kimasomaso E.A.
Jana alijibaraguza kuwapongeza sauti sol hahahha najua imemuuma sana na bado dogo mpaka aache dharau, hajui kuwa ulimi uliponza kichwa! Unaweza kuwa muimbaji mzur lakin watu wakakudiss tu, tukimweleza ukweli aache, mashabiki maandaz wanatuona wachawi, sasa yanatokea