Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hivi kiba kafanya nn kutangaza mziki wetu international level look at diamond doing collabo with big Africa artists davido, bracket, tiwa savage, inyanya, p square, waje, a.k.a, mafikizolo yemi alade n many more are still asking for collabo you should feel proud for diamond he his representing Tanzania

kafanya project ya one eight au ulikuwa ujaanza kufatilia mziki ata rais wetu kuna studio aliitembea marekani inaitwa universal rec alikuta pcha ya kiba so mond akaitangaze wap tanzania zaidi ya marekani mana nigeria njaa njaa kama bongo
 
kafanya project ya one eight au ulikuwa ujaanza kufatilia mziki ata rais wetu kuna studio aliitembea marekani inaitwa universal rec alikuta pcha ya kiba so mond akaitangaze wap tanzania zaidi ya marekani mana nigeria njaa njaa kama bongo

Sasa kwan iyo project ili kuwa ya kiba yeye km yeye ilikuwa n ya Airtel iyo au umesahau kila kitu Airtel ili garamikia kiba hata ela ya kununulia chupi alipewa n airtel
 
kafanya project ya one eight au ulikuwa ujaanza kufatilia mziki ata rais wetu kuna studio aliitembea marekani inaitwa universal rec alikuta pcha ya kiba so mond akaitangaze wap tanzania zaidi ya marekani mana nigeria njaa njaa kama bongo

Na inamaana ushasahau Mara hii moja ya big awards in America n bet awards n diamond ndo msanii wa kwanza wa Tanzania kupata nomination n party before awards alikuwepo n Ali hojiwa n karruche alikuwa mpnz wa Chris brown ivi unajua n nchi ngapi duniani zilikuwa zinaangalia zile awards kiba wakati wake ushapita golden chance never came twice c alikuwa anaona raha kutumia ustaa wke kuwapa ovyo wanawake mimba basi muambie it's too late anakumbuka shuka uku kukiwa kusha kucha
 
Na inamaana ushasahau Mara hii moja ya big awards in America n bet awards n diamond ndo msanii wa kwanza wa Tanzania kupata nomination n party before awards alikuwepo n Ali hojiwa n karruche alikuwa mpnz wa Chris brown ivi unajua n nchi ngapi duniani zilikuwa zinaangalia zile awards kiba wakati wake ushapita golden chance never came twice c alikuwa anaona raha kutumia ustaa wke kuwapa ovyo wanawake mimba basi muambie it's too late anakumbuka shuka uku kukiwa kusha kucha

nashukuru kwa kuwa na kumbukumbu nzur bro ayo mengne unaongeza mada tu kwa kuwa ushakumbuka poa karbu break fast
 
Na inamaana ushasahau Mara hii moja ya big awards in America n bet awards n diamond ndo msanii wa kwanza wa Tanzania kupata nomination n party before awards alikuwepo n Ali hojiwa n karruche alikuwa mpnz wa Chris brown ivi unajua n nchi ngapi duniani zilikuwa zinaangalia zile awards kiba wakati wake ushapita golden chance never came twice c alikuwa anaona raha kutumia ustaa wke kuwapa ovyo wanawake mimba basi muambie it's too late anakumbuka shuka uku kukiwa kusha kucha

Hahahahaaaaaa!! Imebidi nicheke tu maana nilichotaka kuongea ni balaa tupu, sasa kwahiyo unataka tukusaidie nini mama??? Vp nawe wataka kutiwa mimba na le super handsome??
 
nashukuru kwa kuwa na kumbukumbu nzur bro ayo mengne unaongeza mada tu kwa kuwa ushakumbuka poa karbu break fast

Sijui kwann wanatumia nguvu nyingi kumdiss kiba wetu, utadhani kuna mlango kawafungia, si wafanye yao!!!

Yeye km nani aseme muda wa kiba umeisha?? Na umeishaje kwa mfano?? Na km umepita how daz it bouther her?? Sasa mtu ambae kaishiwa anakusumbua nini?? Si ndio ilitakiwa wafurahi, lkn kila siku hakauki midomoni mwao, mbona hawamuongelei saida karoli??
 
Sijui kwann wanatumia nguvu nyingi kumdiss kiba wetu, utadhani kuna mlango kawafungia, si wafanye yao!!!

Yeye km nani aseme muda wa kiba umeisha?? Na umeishaje kwa mfano?? Na km umepita how daz it bouther her?? Sasa mtu ambae kaishiwa anakusumbua nini?? Si ndio ilitakiwa wafurahi, lkn kila siku hakauki midomoni mwao, mbona hawamuongelei saida karoli??

teh teh teh saida karoli,,,umenifunza ktu apa wangu kumbe waliopitwa na wakati ndo walokauka midomoni mwa watu ila wanaondelea kukick ndo wanazungumziwa either kwa ubaya na haters au kwa uzuri
 
teh teh teh saida karoli,,,umenifunza ktu apa wangu kumbe waliopitwa na wakati ndo walokauka midomoni mwa watu ila wanaondelea kukick ndo wanazungumziwa either kwa ubaya na haters au kwa uzuri

Yeah thats it, hivi utamuongeleaje mtu ambae hajakuzidi chochote zaidi ya kumhurumia?? Ukiona wanamuongelea sana kiba ujue kuna kitu kawazidi so inawaumiza sanaa and they know it.
 
Sijui kwann wanatumia nguvu nyingi kumdiss kiba wetu, utadhani kuna mlango kawafungia, si wafanye yao!!!

Yeye km nani aseme muda wa kiba umeisha?? Na umeishaje kwa mfano?? Na km umepita how daz it bouther her?? Sasa mtu ambae kaishiwa anakusumbua nini?? Si ndio ilitakiwa wafurahi, lkn kila siku hakauki midomoni mwao, mbona hawamuongelei saida karoli??
Achana Na ze mburulazz wasikuchoshe tufocus sie kwa kiba wetu.
 
Hivi kiba kafanya nn kutangaza mziki wetu international level look at diamond doing collabo with big Africa artists davido, bracket, tiwa savage, inyanya, p square, waje, a.k.a, mafikizolo yemi alade n many more are still asking for collabo you should feel proud for diamond he his representing Tanzania

Domo ni kama Nick Minaj.
Pamoja na kufagiliwa koooote na kupewa collabo hadi watoto wa Primary wanamjua.......lakini akipangwa na Eve ama Missy Elliot lazima akalishwe!!

Hivi Mondi kwenye hizo collabo anaimbaga nini, frankly??
Kwenye coco baby Waje mwenyewe kaimba vizuri ila ndugu yetu sasa osheeeeee eeeh na poorest lyrics & vocal ever! No more discussion

Kwenye ile nyimbo ya Yemi Alade sasa.....Chinekeeeeeee he dey destroy my ear drums oooh!!!
Save da words now, make you tell your Oga!
 
Domo ni kama Nick Minaj.
Pamoja na kufagiliwa koooote na kupewa collabo hadi watoto wa Primary wanamjua.......lakini akipangwa na Eve ama Missy Elliot lazima akalishwe!!

Hivi Mondi kwenye hizo collabo anaimbaga nini, frankly??
Kwenye coco baby Waje mwenyewe kaimba vizuri ila ndugu yetu sasa osheeeeee eeeh na poorest lyrics & vocal ever! No more discussion

Kwenye ile nyimbo ya Yemi Alade sasa.....Chinekeeeeeee he dey destroy my ear drums oooh!!!
Save da words now, make you tell your Oga!

Hahahaaaaaa!!a you made my day, chai jaba anamuogopa sn domo wallah! Mara ngapi anapanda jukwaani na wasanii wengine ila walaaa hapanik, ila na kiba sasa ni kizungumkuti, moja haimkai mbili inapotea, and yet wanajifanya kumdiss kiba, weweweeeee this shows how much he ruins him.

King hoyeeeeeeeee
 
Hahahaaaaaa!!a you made my day, chai jaba anamuogopa sn domo wallah! Mara ngapi anapanda jukwaani na wasanii wengine ila walaaa hapanik, ila na kiba sasa ni kizungumkuti, moja haimkai mbili inapotea, and yet wanajifanya kumdiss kiba, weweweeeee this shows how much he ruins him.

King hoyeeeeeeeee

Nijibu plzz plz kiba ana international awards ngapi
 
Domo ni kama Nick Minaj.
Pamoja na kufagiliwa koooote na kupewa collabo hadi watoto wa Primary wanamjua.......lakini akipangwa na Eve ama Missy Elliot lazima akalishwe!!

Hivi Mondi kwenye hizo collabo anaimbaga nini, frankly??
Kwenye coco baby Waje mwenyewe kaimba vizuri ila ndugu yetu sasa osheeeeee eeeh na poorest lyrics & vocal ever! No more discussion

Kwenye ile nyimbo ya Yemi Alade sasa.....Chinekeeeeeee he dey destroy my ear drums oooh!!!
Save da words now, make you tell your Oga!

Nijibu plz plz plz kiba ana international awards ngapi plz nijibu
 
Domo ni kama Nick Minaj.
Pamoja na kufagiliwa koooote na kupewa collabo hadi watoto wa Primary wanamjua.......lakini akipangwa na Eve ama Missy Elliot lazima akalishwe!!

Hivi Mondi kwenye hizo collabo anaimbaga nini, frankly??
Kwenye coco baby Waje mwenyewe kaimba vizuri ila ndugu yetu sasa osheeeeee eeeh na poorest lyrics & vocal ever! No more discussion

Kwenye ile nyimbo ya Yemi Alade sasa.....Chinekeeeeeee he dey destroy my ear drums oooh!!!
Save da words now, make you tell your Oga!

Wallah Avemaria nazidi kukupenda wewe mdada.Ulichokiongea kuhusu Nick Minaj ni ukweli mtupu.
Eve na Miss Elliott mbali...Iggy Azalea tu anampa pressure sasa hivi!
The rest. ....umemaliza yote.Nikisema chochote nitaharibu.Tungoje collaboration na p2 tuzidi kucheka sie.
 
Last edited by a moderator:
Kiba ana international awards ngapi,?

Hivi wewe chizi unataka nini? Maana nimekaa kimya naona sasa unazidi kutuchefua tu.
Acha kutujazia uzi wetu na picha moja mshamba mkubwa wewe hata huoni aibu.
Umeng'ang'ania jambo moja kama mwanafunzi wa primary bwana.Ndio maana nililiona hili mapema kua wewe unaonekana dogo sana.Huu ujinga wako peleka fb au kwa wajinga wenzio usituharibie siku.
 
Back
Top Bottom