Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,323
sweetie stone unamaanisha nini?Wazo zuri mkuuu zikija tupe taarifaa
Last edited by a moderator:
sweetie stone unamaanisha nini?Wazo zuri mkuuu zikija tupe taarifaa
Za online ndio tumsubiri Deo akiweza atatuelekeza.
Wewe acha tu nakuambia hapa nilipo nimedata kusikia kua kupiga kura kwa kutumia WhatsApp ni mara moja tu.
Mbona kama sijakuelewa? Kwahiyo kama mimi nimepiga kura kwenye categories zote alizopata Kiba ndio basi tena sitoweza kumpigia kura tena kesho?
Haya fanya mpango utuletee jinsi ya kuvote online.
Ndio, ngoja nikipata info nitaleta
Kuna njia mbili, sms na WhatsApp.
Sms unatuma code mfano... BB1 Unatuma kwenda namba 15415
whatsapp ndo simple,save ile namba then nenda kwenye chat.
tuma ujumbe wowote ule ,watakuletea maelekezo.
maelekezo yatakuja kama mtindo wa M-PESA menu
Eeish, wale wa kupiga kura kwa sms msianze kwa neno KTMA wewe tuma code kwenda namba 15415 Avemaria
Karibuni wadau tuanze kupiga kura Abou Saydou atoto cute b geniveros Avemaria Diva Beyonce Daudi Mchambuzi MosDef unanitaka lukelo sakafu Matola Mdakuzi Ms.Lincoln hyusuph
WatsApp mbona wana maswali hivyo?
Mpaka tarehe ya kuzaliwa? Duuuuh!!!!
Halafu hapo kwenye sms hivi area code zingine zinakubali kweli au mpaka wenye +255 za Tz tu?
Acha hizo bwana, urafiki wetu ni nje ya mambo yanayomhusu Kiba.
Nakuambia maswali kibaooo!
Ila ndio yaleyale tu hata kule kwenye tuzo za watu maswali yapo tena mengi zaidi ya huku KTMA.
Hapo kwenye sma sidhani kama kuna tatizo.Tuma code kwenda 15415 ukiwa popote.
Khaaaaaaa! Wanatuchosha bwana, ila for the sake of kiba i'll endure that
Meona eeeh?Kiba must be proud of us!
Ndio maana yule chizi wa juzi alivyosema sisi ni maneno matupu hatumsapoti Kiba aliniudhi!
Ila itakuwaje sasa jamani? Maana jana nimempigia kura King categories zote saba ila leo nimejaribu hawaruhusu kurudia.
Online nako mizinguo!
Mie huwa nawapuuza tu km wapuuzi wengine, kumbe kuna na online? Mie ilipokataa nikapiga kwa sms, nishapiga mpaka basi yaani
Nakuambia maswali kibaooo!
Ila ndio yaleyale tu hata kule kwenye tuzo za watu maswali yapo tena mengi zaidi ya huku KTMA.
Hapo kwenye sma sidhani kama kuna tatizo.Tuma code kwenda 15415 ukiwa popote.
WhatsApp sijui imekuwaje sms haziendi wala hakuna response yeyote.
The same na msg za kawaida.....ila nitapiga tu labda sio mimi aiseee
Yeah, ipo lakini iko complicated sana.Ukiona nifah kashindwa kumpigia kura Kiba kwa process hiyo basi ujue hali ni tete...lol
Vipi sms wanachaji sh ngapi?
Hahaha subiri tu kuna wakazi KTMA wanazingua sana.
Ngoja nikaendelee kupiga kule kwa tuzo za watu wako fresh sana.
Mamii cdhani hata km inafika sh100 maana mie nimepiga mara nyingi kweli hata hela haiishi, itakuwa wanakata kidogo mno