Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wewe MADAM T huyo Zari kawakomesha wewe na mumeo kama unaye lakini.
Mimi hanitishi wala hanipunguzii chochote mjini hapa haniweki yeye.

Best answer ever huyu zari zari kwani anatuhusu nini siye atutolee ashuo uko mbele naye na kisebu sebu ka zivu LA zari hapa anahusu nini team kiba.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa uwiiiii!
Ndio hapo sasa.Bibie na vile hajielewi akaona kila mtu anamuabudu huyo Zari wao.

Mwenzangu watu wengine sijui wakoje wivu wa nini sasa hapo kuuona labda kwa kipi alicho nacho za ziada kinachowafanya wengine wasitumie oxygen labda.Hizi zero IQ kazi yao huwa ni kuwaza watu kutofautiana mitazamo ni chuki. Kama anampenda akamlambe nyaa yake atuwaache sio na Uzi wetu murua.
 
Mwenzangu watu wengine sijui wakoje wivu wa nini sasa hapo kuuona labda kwa kipi alicho nacho za ziada kinachowafanya wengine wasitumie oxygen labda.Hizi zero IQ kazi yao huwa ni kuwaza watu kutofautiana mitazamo ni chuki. Kama anampenda akamlambe nyaa yake atuwaache sio na Uzi wetu murua.

Umeona eeh? Huu uzi unawaumiza wengi balaa mpaka wengine WANABADILI ID ILI WAPATE VIMWANA WA KIBA FANS JAMANI!
Uwiiiiiiii habari zenu tunazo tunawachora tu... Avemaria unajua hili?
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh? Huu uzi unawaumiza wengi balaa mpaka wengine WANABADILI ID ILI WAPATE VIMWANA WA KIBA FANS JAMANI!
Uwiiiiiiii habari zenu tunazo tunawachora tu... Avemaria unajua hili?

Ha haaaa kweli tupu watahangaika Mpaka washangae wenyewe wanafikiri hawajulikana eeeh watasubiri sana tuko next level hatuendeshwi na matukio a.k.a bendera fata upepo.
 
Last edited by a moderator:
Hapa ni kwa Kiba sasa huyo madam tumbo kakosea njia muitie mtu amuelekeze kwa doggie.

Nakuambia nimeshangaa jimama limejileta huku nilivyoona kwenye notifications nikadhani ana la maana kumbe Zari,loooh!

Hahahahaaa jamani hilo tumbo limenitishaje? Nilitaka kusema nikaacha tu!

Ha hahaaaa litumbo kubwa ka kiroba cha njegere in Nifas voice kanishangaza kwa kweli tumbo lina vupingili kuliko hata mua .Sishangai katumia tumbo hill baya kufikiria zaidi ya kichwa.
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeh? Huu uzi unawaumiza wengi balaa mpaka wengine WANABADILI ID ILI WAPATE VIMWANA WA KIBA FANS JAMANI!
Uwiiiiiiii habari zenu tunazo tunawachora tu... Avemaria unajua hili?

Alaaaaa kumbee???!!!!
Ebu nitafute kwa ile airtel yangu
 
Last edited by a moderator:
Ha hahaaaa litumbo kubwa ka kiroba cha njegere in Nifas voice kanishangaza kwa kweli tumbo lina vupingili kuliko hata mua .Sishangai katumia tumbo hill baya kufikiria zaidi ya kichwa.

Wewe mtoto una kumbukumbu balaa, kumbe unakumbuka kile kiroba cha njegere? Nilishasahau wallah!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom