Hahahaaa ndio hivyo mwenzangu ukiona id mpya ujue watu wako kazini!
Kuna watu wajinga na wakosa kazi sana!
Have a good night ladies. ..
If God wishes. ...tomorrow's 😉😉
Mi niliona majina ambayo siyafahamu ila ni expert members, kwa vile ilikuwa ni ile siku ya story zile za MMU nikajua labda umbea ndo umewaleta japo niliwakaushia tu. Kumbe kuna kampango kengine mweeeh!!!
Ha hahaaaa litumbo kubwa ka kiroba cha njegere in Nifas voice kanishangaza kwa kweli tumbo lina vupingili kuliko hata mua .Sishangai katumia tumbo hill baya kufikiria zaidi ya kichwa.
Zari kawakomesha kabisa na miwivu yenu!
Mwenzangu watu wengine sijui wakoje wivu wa nini sasa hapo kuuona labda kwa kipi alicho nacho za ziada kinachowafanya wengine wasitumie oxygen labda.Hizi zero IQ kazi yao huwa ni kuwaza watu kutofautiana mitazamo ni chuki. Kama anampenda akamlambe nyaa yake atuwaache sio na Uzi wetu murua.
Kumbe Ali Kiba anakutisha na kukupunguzia chochote kitu! Pole na uchovu wote alionao!
Achana nae huyo mamie atakuwa ni housegirl wa zari sasa anazani kila mahali zari ni bosi.....
Kumbe Ali Kiba anakutisha na kukupunguzia chochote kitu! Pole na uchovu wote alionao!
Sikiliza, mimi namkubali Kiba kutokana na music wake anaoufanya....period!
Usidhani niko sawa na wewe unayemuabudu huyo Zari,fanya yako mwanamke nawe usifiwe.Kama huna la kufanya basi endelea kumuabudu huyo Zari ila uishie huko huko sio utuletee habari zako huku.
Kampango kabambe, wanahahaje sasa?? Huu ushabiki tu watu twajipa raha kwa vile tulivyochagua kuvipenda sasa i wonder watu wanafurukutwa roho, shida zote za nn??
Miss uuu
nipo best wewe huniitimiss you too dear, umepotelea wapi?
nipo best wewe huniiti
Miss uuu