robinson10
Member
- Apr 27, 2015
- 79
- 22
Choko wewe, Diamond is the best artist!
Ubabe wa nini ?
Choko wewe, Diamond is the best artist!
Ubabe wa nini ?
Viol ushapiga kura?Jamani naona watu wanaulizia sana jinsi ya kumpigia kura King Kiba kwenye tuzo za watu.Pigeni kupitia
www.tuzozawatu.com
Vote as much as you can kuhakikisha King anaibuka mshindi.
Kill music wakianza kuruhusu kupiga kura nitakuja kuwaelekeza jinsi ya kupiga pia.
1 ♥ to all Kiba fans.
Online sijui maana sipo bongo
Haupo bongo uko wapi?
Sasa we unataka nijibu hiyo swali hapa?
www.tuzozawatu.com
Kutokua bongo sio sababu ya kutokujua.
duh mtangazaji anayependwa nashindwa nafsi inapambana,wa ukweli Milard ayo ila nampenda Maryam kitosiwww.tuzozawatu.com
Kutokua bongo sio sababu ya kutokujua.
duh mtangazaji anayependwa nashindwa nafsi inapambana,wa ukweli Milard ayo ila nampenda Maryam kitosi
www.tuzozawatu.com
Kutokua bongo sio sababu ya kutokujua.
Napiga now
Nishampiga mpenzi
Gud boy, ila kuna swali langu haujajibu
Lipi?.....
Zari kawakomesha kabisa na miwivu yenu!