Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

hata mi nlijua hizi taarifa zitavuja make zimeekwa kwenye sufuria lolilotoboka
 
Huo mjengo mbona tunaonaga sehemu mbili tu? Tena bafu na bustani.

Kama kweli ana huo mjengo wekeni picha tuuone na sio vyoo na bustani za hoteli.
 
hahaha Tuweke picha basi mkuu tuone, Manaake huyo jirani yenu unae mzungumzia ye alishaweka.
 
article-2655270-1EAB841A00000578-987_634x471.jpg

Haya hiyo hapa sample!
 
Acheni kumpa sifa asizonazo,Ally kiba anafanya mziki mzuri sawa lakini haya mnayompakazia hayako sawa,mnapa nyumba fake eti ni ya kwake hiyo mijengo ya kale mnamsingizia kaka wa watu hata huruma hamna
 
Jiheshimu
Utaheshimika.Fake Id isikufanye kuwa poyoyo kiasi cha kumwita binadam mwenzio mbwa.Get a life.

Umemsahau huyo mpuuzi? Mbona tumewahi gombana naye sana tokea mwanzoni mwa huu uzi?
Ndio maana nimemkaushia tu anadhani kasahaulika.
 

Attachments

  • Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani  hutaamini ni yupi  com.jpg
    Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani hutaamini ni yupi com.jpg
    17.7 KB · Views: 156
  • Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani  hutaamini ni yupi  – Bongo5.jpg
    Diamond amesharekodi collabo na msanii mkubwa wa Marekani hutaamini ni yupi – Bongo5.jpg
    40.3 KB · Views: 160
Na mb800 umeweka? au unatumia mb70 za Yatosha? maana kuna mazuzu humu eti mtu ukiwa bize wanadhani unaishi mb8 kama mikundu yao.

Ila tuache utani mb8 imekufanya vibaya sana umekua adimu na myonge kama sengee lililo kosa mume wa kumpiga pumbuu
 
Back
Top Bottom