Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,307
Muache apige kazi maana he is back for real
Anapiga hela ili wajinga wachukie
Kuna mjinga fulani anasema Kiba kabuma, hana mafanikio! Aisee kuna watu wa ajabu sana.Hamjui hata Kiba mwenyewe zaidi ya kumsikia tu huku JF ila anavyoongea ni kama mhasibu wake!