Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaa, nimecheka sana.Akichukua kipande kikubwa tutasahau kama wimbo ni wa Tunda...

Ukiongezea na kule kulialia kwake, agggrrrr walaaa tusingejua km nae kashirikishwa humo achilia mbali wimbo kuwa wake
 
We nawe unaadimika mno kama miguu ya nyoka!! Ndio maana wajanja wanakuwahi
Naadimika si kwa kutaka atoto, maisha ndiyo yanayonigaragaza na kuninyima fursa ya kuwapo hapa kwa wakati muafaka ingawaje sidhani hata kama nikijieleza huyu Ms.Lincoln anaweza kunielewa! In short, huu ni msimu wa kilimo na Kanjibhai kama walivyo matapeli wengine, anajifanya nae ni msambazaji wa mbegu bora za pamba kanda ya ziwa nami ni mmoja wa maboi wake tunaokuwa kwenye msafara wa kusambaza mbegu hizo!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa, nimecheka sana.Akichukua kipande kikubwa tutasahau kama wimbo ni wa Tunda...
Sipati picha siku atakayoamua kufanya shoo na huo wimbo halafu Kiba nae ndo aimbe kipande chake. I swear, Tundaman hatakuja kuimba na Kiba hata siku moja jukwaani na huo wimbo manake shangwe zote zitakuwa kwa mgeni mwalikwa.
 
Sipati picha siku atakayoamua kufanya shoo na huo wimbo halafu Kiba nae ndo aimbe kipande chake. I swear, Tundaman hatakuja kuimba na Kiba hata siku moja jukwaani na huo wimbo manake shangwe zote zitakuwa kwa mgeni mwalikwa.

Mambo? Jamani Tunda ashawahi kuimba na Kiba bwanaaa
 
Naadimika si kwa kutaka atoto, maisha ndiyo yanayonigaragaza na kuninyima fursa ya kuwapo hapa kwa wakati muafaka ingawaje sidhani hata kama nikijieleza huyu Ms.Lincoln anaweza kunielewa! In short, huu ni msimu wa kilimo na Kanjibhai kama walivyo matapeli wengine, anajifanya nae ni msambazaji wa mbegu bora za pamba kanda ya ziwa nami ni mmoja wa maboi wake tunaokuwa kwenye msafara wa kusambaza mbegu hizo!

Wacha weeeee! Saka mahela bwana atakuelewa tu, tajiri hanuniwi
 
Last edited by a moderator:
Acha kabisa. Mimi hua sisikilizi sehemu nyingine tofauti na pale kwa King...
Labdaaa ndo yule.....
Ah, the guy is talented.


ok well...
kwa mlio karibu nae plz mshaurini Dogo apande zaidi na aangalie soko la kimataifa sasa...

ile nafasi ya kufanya kazi na R- Kelly aitafute tena au atafute chance nyengine za kujitambulisha.

aking'ang'ana hapahapa yatamkuta yaliowakuta akina Ferooz na wengi...coz wengi leo wapo chali na walivuma ile kinoma, jirushe kiakili kabla line light yako haijazima
 
kwa kweli anayejua anajua tu na mwenye kipaji muache anatisha. tangu king kiba atoe mipini miwili hatari yaani.mwana dar es salaam na cheketua uku mjini hali imechafuka wale waliojifanya wanajua wote kimyaaaa... maana mwenyewe karudi. hakuna cha ndomo wala sijui nani. jamaa katoa somo la maana. safi sana kiba
 
kwa kweli anayejua anajua tu na mwenye kipaji muache anatisha. tangu king kiba atoe mipini miwili hatari yaani.mwana dar es salaam na cheketua uku mjini hali imechafuka wale waliojifanya wanajua wote kimyaaaa... maana mwenyewe karudi. hakuna cha ndomo wala sijui nani. jamaa katoa somo la maana. safi sana kiba

Ukikamia maji huwezi kuyanywa Diamond yupo level za kimataifa na siyo Bongo tena.... Hana mda na Kiba.....
 
Mkuu unajua kiba alitoa wimbo na r.kelly
siyo kweli kiba kama kiba individual hajawahi kutoa Wimbo na R kelly ila kuna project ya One8 kiba na yeye aliimba walikuwepo wasanii lukuki akiwemo 2face, Amani....Diamond anajua kuimba na kucheza kiba anasauti ambayo wengi wanaipenda ila hajui kucheza na kutunga nyimbo kulingana na mziki ulipofika..... Dangote yupo far from kiba... that is it....
 
Kwani niulize wahjuaje wa mziki,ivi mziki ni kucheza? maneno yakwenye mziki,sauti ya muimbaji au ujumbe anaotoa? kipi muhimu?
 
Back
Top Bottom