Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

siyo kweli kiba kama kiba individual hajawahi kutoa Wimbo na R kelly ila kuna project ya One8 kiba na yeye aliimba walikuwepo wasanii lukuki akiwemo 2face, Amani....Diamond anajua kuimba na kucheza kiba anasauti ambayo wengi wanaipenda ila hajui kucheza na kutunga nyimbo kulingana na mziki ulipofika..... Dangote yupo far from kiba... that is it....

mkuu mziki ni sauti na message
 
ok well...
kwa mlio karibu nae plz mshaurini Dogo apande zaidi na aangalie soko la kimataifa sasa...

ile nafasi ya kufanya kazi na R- Kelly aitafute tena au atafute chance nyengine za kujitambulisha.

aking'ang'ana hapahapa yatamkuta yaliowakuta akina Ferooz na wengi...coz wengi leo wapo chali na walivuma ile kinoma, jirushe kiakili kabla line light yako haijazima
Worry out GANG.King yuko na mipango ya ukweli this time.Tulia.....mambo mazuri yako njiani.
 
Last edited by a moderator:
siyo kweli kiba kama kiba individual hajawahi kutoa Wimbo na R kelly ila kuna project ya One8 kiba na yeye aliimba walikuwepo wasanii lukuki akiwemo 2face, Amani....Diamond anajua kuimba na kucheza kiba anasauti ambayo wengi wanaipenda ila hajui kucheza na kutunga nyimbo kulingana na mziki ulipofika..... Dangote yupo far from kiba... that is it....

Yote umeeleza ukweli..
Umekosea sehemu Moja tu,umesema kiba hajui kutunga...

Acha utani bro,kiba anaandika bhana..
Sikuzote ukisikia wimbo wa kiba utataka usikilize mara ya pili ujue anamaanisha nini haswa..

Hata majina ya nyimbo zake:-Kwa mfano ukasikia Jina la wimbo unaitwa MWANA lazima utajiuliza mara mbili linamaana gani,lakini ukisikia jina NITAMPATA WAPI hapa unajua tu anaongelewa mwanamke..

Kwenye nyimbo za Diamond huwezi kukuta wise words kama hizi:-
"Yule aliyekupa wewe,ndo kaninyima mimi,na kama ridhiki anatoa yeye,basi ntakosa mimi,ila mola ndo anaetoa,tena kwa folleni hata kama nipo nyuma nitapata lazima"...

Alafu unavosema Diamond yupo kimataifa ndo maana hatumsikii unamaanisha anatoa nyimbo ila zinapigwa nje tu bongo hazipigwi au.???
 
Mwenzake kaonyesha bafu la magold na flat screen ndani, mwambieni king naye tuone lake
 
Mwenzake kaonyesha bafu la magold na flat screen ndani, mwambieni king naye tuone lake

Ally alishasema hawez kuonesha mafanikio yake kwasababu itakua ni kama dharau kwa mashabiki wake ambao asilimia kubwa ni masikini..

Akatolea mfano,shabiki anatumia mwezi mzma kujichanga ili apate efu10 ya kiingilio kwenye show aje akuone msanii anaekupenda,mwezi mmoja baadae unaonesha gari la milioni50 alaf unajisifu,unadhani atajisikia vipi..

Kimsingi tofauti ya hawa watu ni malezi..
Inaelekea diamond kalelewa ovyo na mzazi wake ndio maana hajui kipi kifanywe kwa uwazi na kipi kifanywe kisiri..

Ndio maana utakuta mamake yupo na wema kama mkwe wake,mwezi mmoja baadae yupo na penny kama mkwe wake,mwezi unaofuata yupo na jokate baada ya mda kidogo anasafiri kwenda south africa na Zari..

Just imagine ni mama gani mwenye maadili ambae atakubali uwe unabadilisha wasichana ovyo mbele yake na kumtambulisha.?

Lakin kwa kiba ni tofauti,..
 
Kwani niulize wahjuaje wa mziki,ivi mziki ni kucheza? maneno yakwenye mziki,sauti ya muimbaji au ujumbe anaotoa? kipi muhimu?

Mie kwangu muziki ni mpangilio wa sauti kutoka kwenye vyombo na muimbaji. Unapendeza zaidi kukiwa na ujumbe mzuri kutoka kwa waimbaji.
Kucheza kwangu mie siyo sababu eti mtu anajua mziki. Na ndio maana napenda sana kusikiliza kupitia Radio nk. lakini siyo Kuangalia na kusikiliza kupitia TV
 
That's all!
Achana na hao wanaosema ooh hajui kucheza.Kwani mwanamuziki lazima awe dancer? Ingekua hivyo basi kusingekua na maana ya kua na dancers.

Ushamba na ujinga hauna dawa, rafiki zangu walinipeleka show moja stockholm very expensive na ticket zilikuwa zimeisha yule mdada msaani nyimbo zote aliimba akiwa amekaa kwenye kiti. Sasa huyu zuzu sijui kama anaelewa kinachoendelea duniani.
 
siyo kweli kiba kama kiba individual hajawahi kutoa Wimbo na R kelly ila kuna project ya One8 kiba na yeye aliimba walikuwepo wasanii lukuki akiwemo 2face, Amani....Diamond anajua kuimba na kucheza kiba anasauti ambayo wengi wanaipenda ila hajui kucheza na kutunga nyimbo kulingana na mziki ulipofika..... Dangote yupo far from kiba... that is it....

Well umenena vyema katika hao wasanii lukuki Tanzania ni msanii gani alionekana ndio bora?

Tunaomba tutajie jina.
 
Mwenzake kaonyesha bafu la magold na flat screen ndani, mwambieni king naye tuone lake

Hahahahhhaaa nahisi kaka kiba hana tu cha kuonesha ndo mana anasingizia ni dharau kwa mashabik wakat haohao mashabik ndo siku hz wanataka sana kujua wasanii wao wanainvest kias gan kwenye mziki wao.poor him
 
Hahahahhhaaa nahisi kaka kiba hana tu cha kuonesha ndo mana anasingizia ni dharau kwa mashabik wakat haohao mashabik ndo siku hz wanataka sana kujua wasanii wao wanainvest kias gan kwenye mziki wao.poor him

Hana cha kuonesha au ulishapitwa kipindi anaonesha view la kasri lake? Afu sasa nikwambie, ukuta wake imara kweli wala haubebwi na manyunyu ya mvua.
 
Hahahahhhaaa nahisi kaka kiba hana tu cha kuonesha ndo mana anasingizia ni dharau kwa mashabik wakat haohao mashabik ndo siku hz wanataka sana kujua wasanii wao wanainvest kias gan kwenye mziki wao.poor him

Nasikia anaishi kwa mamaake kariakoo, ila anaruhusiwa kuonyesha hata hilo bafu si mali ya mzazi wake bana
 
Una nyumba 10 mjini,akaunti inasoma 10 digits,unamiliki mwanamke mzuri kuliko wote east Africa,kijana tajiri kuliko wote Tz below 25 of age,mtanzania maarufu kuliko rais wa nchi,passport imechafuka kuliko waziri wa mambo ya nje,ikulu unaingia unavyojisikia......
Ndio maana diamond nakuchukia sana haiwezekani upate haya yote katika umri wa miaka 25
 
Ally alishasema hawez kuonesha mafanikio yake kwasababu itakua ni kama dharau kwa mashabiki wake ambao asilimia kubwa ni masikini..

Akatolea mfano,shabiki anatumia mwezi mzma kujichanga ili apate efu10 ya kiingilio kwenye show aje akuone msanii anaekupenda,mwezi mmoja baadae unaonesha gari la milioni50 alaf unajisifu,unadhani atajisikia vipi..

Kimsingi tofauti ya hawa watu ni malezi..
Inaelekea diamond kalelewa ovyo na mzazi wake ndio maana hajui kipi kifanywe kwa uwazi na kipi kifanywe kisiri..

Ndio maana utakuta mamake yupo na wema kama mkwe wake,mwezi mmoja baadae yupo na penny kama mkwe wake,mwezi unaofuata yupo na jokate baada ya mda kidogo anasafiri kwenda south africa na Zari..

Just imagine ni mama gani mwenye maadili ambae atakubali uwe unabadilisha wasichana ovyo mbele yake na kumtambulisha.?

Lakin kwa kiba ni tofauti,..

Utetezi wa kijinga... Vipi wale wtoto watatu kila mtu na mama yake kuna mama anayeweza kukubali kila siku kuletewa mtoto halafu aambiwe mkwe wake yupo corner bar??!!
 
Tokea juzi najionea maajabu huku JF.Midume mizima bila aibu inakaa inashangilia nyumba ya mwanaume mwenzao ambayo hawajui kaipataje.Ni mwendawazimu pekee atakayeamini kua nyumba zile zinatokana na mapato yake kimuziki.
Mwanaume unakaa kushangilia nyumba ya mwanaume mwenzio? Bora kusifia kidogo inaleta maana.
This is shame!
 
Tokea juzi najionea maajabu huku JF.Midume mizima bila aibu inakaa inashangilia nyumba ya mwanaume mwenzao ambayo hawajui kaipataje.Ni mwendawazimu pekee atakayeamini kua nyumba zile zinatokana na mapato yake kimuziki.
Mwanaume unakaa kushangilia nyumba ya mwanaume mwenzio? Bora kusifia kidogo inaleta maana.
This is shame!

Kushangilia nyumba ya national icon sio vibaya ... Ilitakiwa itangazwe hata siku ya mapumziko
 
Tokea juzi najionea maajabu huku JF.Midume mizima bila aibu inakaa inashangilia nyumba ya mwanaume mwenzao ambayo hawajui kaipataje.Ni mwendawazimu pekee atakayeamini kua nyumba zile zinatokana na mapato yake kimuziki.
Mwanaume unakaa kushangilia nyumba ya mwanaume mwenzio? Bora kusifia kidogo inaleta maana.
This is shame!

Butthurt Alikiba fan
 
King kiba
 

Attachments

  • 1427270915042.jpg
    1427270915042.jpg
    51.1 KB · Views: 141
Back
Top Bottom