Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Habar zenu ?
King anafanya yake kwa raha zake
Habar zenu ?
Nasikia arusha hatari tupu
Matukio kwa picha
Matukio kwa picha
Eeeeh bwana eeh! Machalii na mamanzi wa Arachuga wametisha sana.
Matukio kwa picha
kama mapenzi ghorofa yamejaa kariakoo
Eti bwana......
Sema nini unataka? Au nikufanye princess. ...
hebu tudadavulie pls.
sorry soldier!nilikwa mishe ila hope picha utakuwa umepata!...asikuambie mtu hamna sehemu ngumu raia kuelewa kama arusha!king kiba kweli hatari na kaeleweka!....ujue show yake ni tripple A uwanjani na palitapika siyo garden ya hotel kama aliyopiga yule jamaa mwingine kwenye show yake ya arusha ambayo ukilipa elfu 50 na msosi unapewa!kwahiyo kuna raia walifata msosi ila kwa kiba watu walifata mziki!....huo ndo utofauti
huyo kiba ni mwanamuziki.....wenzake katika misafara yao ya show kundi la watu kumi na kitu unakuta lina kaka mtu,shemeji,mama,mameneja watatu,mganga humuhumo kwenye msafara,wapiga picha na wacheza show saba!yaani msafara unajaa watu ambao si wa mziki.......ila yeye sasa mfalme msafara wake dah!sijui mpiga guitar,mpiga drum,fundi mitambo sijui nani yaani msafara full watu wa mziki!...........anachokifanya kiba sasa baada ya kuona watu wameelewa nini maana ya bongo flavour kwa somo alilolitoa kwa kutoa ngoma kadhaa,sasa ameanza kutoa somo la nini maana ya mziki na mwanamuziki kwa vitendo anavyovifanya!........akimaliza somo hilo ataendelea na somo la nini maana ya mwanamuziki wa kimaifa kwa vitendo pia!........yeye siyo mtu wa maneno ni vitendo tu