Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana.
Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake.
Kweli kabisa
Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana.
Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake.
ooooh!!! okey hapo nimekupata sasa.
najua kwa nn unacheka
Hahahaaa, sijui kwanini nikikuona hapa hua nacheka sana!
teh teh mtani bwana!!! hujambo?
Teh Teh mtani nimeisikiliza clip sehemu Warioba(TID) akihojiwa na Soud broun(clouds Fm) kuhusu kunusurika kupigwa na Mugabe (Q-chillah) baada ya soud kumhoji Mugabe ..Mugabe alieleza kuwa alipo kuwa Club maisha akicheza pool table..akatokea Warioba akiomba anataka kuongea nae ..lakini akamwambie Warioba ni tafute private na kwa muda wako hapa si mahali pake..lakini Warioba alizidi kubembeleza ikabidi Mugabe ..amfate na kuanza kumwambia sijapenda ulivyo uponda wimbo wa Kiba kwenye mitandao..
Kituko zaidi alipo pigiwa Warioba kuanza kuulizwa na Soud nasikia ulikoswa koswa kupigwa na Mugabe...hahahaha daaa Warioba akaanza "kumwambia Sudi kata simu mtu wa Mungu,na sema kata simu kwa uwezo wa Mungu nasema kata simu kwa uwezo wa Mungu kata simu kwa uwezo wa Mungu.."
Hakuna siku nimecheka kama leo..daa yani Warioba alikuwa ana kemea kabisa kama mlokole hadi Sudi akakata simu..kwakweli nimecheka sana...daaa
😀😀😀 Aisee na wote wanaomponda kijana wetu mitandaoni washindweee na wajegejareee!
Now ndani ya Cloudsfm
Kiba mfalme.
Teh Teh...lefotoz live msibani..
Now ndani ya Cloudsfm
Yani huyu akija kwetu hana haja ya kutoa mahali, maana yeye mwenyewe ni mahali tosha....
Yani huyu akija kwetu hana haja ya kutoa mahali, maana yeye mwenyewe ni mahali tosha....
Ms.LincolnWimbo mzuri! Wanga washaanza kupiga filimbi zao, mxiuuuu! Haters wanaruhusiwa pia kusikiliza na kukosoa na wa kujiapiza kunya au kujiua kama NkyaH.
Teh Teh...lefotoz live msibani..