Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,394
- 176,286
Hahahaaa, lakini watoto wa mjini sio issue wala nini.
tid kavurugwa vibaya sana, wivu ndio unamtafuna, yeye kishafulia na uteja juu sasa hana jipya anabaki kutapatapa tu.
Hahahaaa, lakini watoto wa mjini sio issue wala nini.
tid kavurugwa vibaya sana, wivu ndio unamtafuna, yeye kishafulia na uteja juu sasa hana jipya anabaki kutapatapa tu.
tid kavurugwa vibaya sana, wivu ndio unamtafuna, yeye kishafulia na uteja juu sasa hana jipya anabaki kutapatapa tu.
Dah! Nimemchukia kinoma noma.Umemuona bibi kijiti Mange alichosema?
Dah! Nimemchukia kinoma noma.Umemuona bibi kijiti Mange alichosema?
Huyo Mange ana mental case, ni wa kupuuzwa.She always finds faults with others kasoro kwa Wema.Unajua yule ana matatizo ya akili.Mwache ni wa kumwombea yule kishkwambi mjuaji...sio lazima yeye aupende.yeye ni Pwanya road tu
Hahahaaa, le Panywa road..basi amfanyie Kiba favour. ..afwe for him u know. ..
Kiukweli Mange kanikera sana, sijui huyu bibi ana balaa gani la kupenda attention kiasi hiki! Kila kitu lazima akivalie njuga.Ila nionavyo mimi hii article ya wimbo wa Kiba kaitumia kama silaha ya kujisafisha kwa diamond alivyomponda hapo juzi kati.
jamani mlioko IG mwambieni king aandae chekecha chekeTOUR, watu tutaingia hata kama entrance jiwe
C ulisema ungeniPM !! Nikasubiri uniPM kimyaa
Hahahaaa, PM # mama...unataka akurushie kwa blue tooth?
unajuaje labda wako zero distance so bluetooth inawezekana tu
Nimeshaipata. Abou alinichomesha mahindi live live bila huruma lol!
Na huku kwetu Makindye wameipenda kinoma, nyimbo imefunga mitaa kila kona ni chekecha cheketua. Wale wenye vibanda/vijiwe vya kuburn cd na kuweka nyimbo kwenye simu.....biashara imewanyookea kweli.
Moshi tar 6 march
Arusha march 7
Namanga march 8
Maeneo mengine utapewa habari siku zijazo
Warioba anusurika kupokea kichapo kutoka kwa Mugabe baada ya kuiponda Cheketua
😱😱😱
loading....
Namaanisha Tid na Chillah 😕😕nini kinacho load mda mrefu hivyo?