Teh Teh anaweza kwenda katikati ya ziwa victoria akapasua yai...
Aisee!Kumbe ma Lawyer huwa mnakua na imani za kishirikina eeh?
😱😱😱
na anayajua balaa, hawachelewi kumcngizia wamemuona huko!
nani kaumbuka?wenzako jana walifurahi sana kupewa buku2 wakasahau kazi waliyotumwa
alafu wanajichetua hapa eti hana jipya wakati anawahenyesha balaa, duuuh!!! hii dunia wonders never seize kwakweli
Teh Teh Ngoja niondoe maneno yangu japo huo mlango haujawekwa wazi kama ni wa Leaders au back stage....
Uknw nafuta maneno yangu mpaka hapo ushahidi wa kuruka ukuta utakapo letwa.
wao walituma watu wakahisi na wengine walitumwa!! kutokujiamini kubaya!!
Tatizo hawataki kuamini kuwa Kiba anapendeka ile mbayaaaa!!!
Waligeukwa vizuri sana yaani.
Teh Teh mtani ugua pole
U seee...
Nilikwambia wewe haujahabarika vya kutosha na unachokifanya unadakia vitamko tamko tu visivyokuwa na mashiko.
Sasa nakupa homework, ni kwamba Kiba aliingilia getini kama kawa ila kuna sehemu kule mbele ilibidi aruke ukuta....malizia mwenyewe why??? ( bt weka pembeni hilo la kishirikina)