Huu uzi wetu jamani mbona kimya? tutakuwa tunamwangusha mfalme ambae wengine tumeapa kumtetea kwa udi na uvumba.najuwa hivi sasa yupo kimya lakini matumain yangu ni kwamba kimya kikuu kina mshindo nasubiria kwa hamu scuds atakayoishusha tena na kusambaratisha kabisa watu wa mtaa wa saba.