Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
haki ya nani kimya kingi kina mshindo mkuu!! i salute you king!
Na mm I need yah sarute lol😎😎😎
haki ya nani kimya kingi kina mshindo mkuu!! i salute you king!
doing great nlikumis tu
majukumu pole yako nimeblow na mjengo wa ALY
Asante sana mpwa, wajua hata mimi huwa nawamiss sana. Nimewazoea mno ndugu zangu.
Nimesikia mganga wa Nassib yule Khalid Tege wa Mburahati Mianzini aliongozana naye hadi kwenye show ya Kiboko Yao.
Walichinja mbuzi njia panda ya Mburahati na Morogoro Road lakini haikutosha, mganga hadi kaingizwa ukumbini.
Ajabu Khalid Tege kaingia na watu wake hadi back stage, ilibidi tu Kiba apewe ulinzi baada ya kutoa taarifa kwa waandaaji.
Wajua mtu anayeamua kukuroga hadharani ujue ameshakuroga sana sirini akashindwa.
Nimesikitika sana kusema kweli baada ya kupewa taarifa hizi muda mfupi uliopita.
Ova
dah nimeona ig nimesikitika sana ujue tena yaani sijataka kuamini ila na uthibitisho umewekwa nimewadharau kwa kweli
Kuna mtu wangu mmoja anaishi huko Mburahati Mianzini, nataka anifanyie kazi moja ya kupata picha ya huyu dogo akiingia au kutoka kwa Khalid Tege.
Ni vizuri kumfichua. Muziki gani hasa wa kuufanya namna hii? Unaroga ukiwa kwenu huko na bado unaenda na mganga ukumbini ili akamroge anayekushinda.
Nilidhani kwa kupata nafasi ya kufika Ulaya ingemsaidia kuachana na haya mambo ya kijinga jinga ya uswahilini lakini kumbe nilijidanganya.
Inasikitisha sana mpwa.
Ova
Asante sana mpwa, wajua hata mimi huwa nawamiss sana. Nimewazoea mno ndugu zangu.
Nimesikia mganga wa Nassib yule Khalid Tege wa Mburahati Mianzini aliongozana naye hadi kwenye show ya Kiboko Yao.
Walichinja mbuzi njia panda ya Mburahati na Morogoro Road lakini haikutosha, mganga hadi kaingizwa ukumbini.
Ajabu Khalid Tege kaingia na watu wake hadi back stage, ilibidi tu Kiba apewe ulinzi baada ya kutoa taarifa kwa waandaaji.
Wajua mtu anayeamua kukuroga hadharani ujue ameshakuroga sana sirini akashindwa.
Nimesikitika sana kusema kweli baada ya kupewa taarifa hizi muda mfupi uliopita.
Ova
Hana jipya lakini kutwa kucha migulubaja yako haikauki huku, atleast ungeona haya dogo!Na Kiba mwaka huu atawajambisha sana na hiyo misuli yenu ya urithi!
HAHAHAHA akili ya mswahili bwana, akishindwa pambano anaanza kumtafuta mchawi
HAHAHAHA akili ya mswahili bwana, akishindwa pambano anaanza kumtafuta mchawi
Hivi jana hakukodisha wale masela wa kariakoo
Kuna watu mna mioyo aseee!
Pamoja na kuumbuka kote huko bado tu mnajitutumua kutetea.....duh!! Hongereni
View attachment 221579
Huyu hapa King Kiba anaingia kwa kupita mlangoni, lakini vichwa maji na wenye akili finyu wakazusha kwamba karuka ukuta.
Ukweli huwa na kawaida ya kubaki kuwa ukweli tu, hata kama utatungwa uongo wa namna gani.
Ova
Na mm I need yah sarute lol😎😎😎
dah nimeona ig nimesikitika sana ujue tena yaani sijataka kuamini ila na uthibitisho umewekwa nimewadharau kwa kweli
Kuna mtu wangu mmoja anaishi huko Mburahati Mianzini, nataka anifanyie kazi moja ya kupata picha ya huyu dogo akiingia au kutoka kwa Khalid Tege.
Ni vizuri kumfichua. Muziki gani hasa wa kuufanya namna hii? Unaroga ukiwa kwenu huko na bado unaenda na mganga ukumbini ili akamroge anayekushinda.
Nilidhani kwa kupata nafasi ya kufika Ulaya ingemsaidia kuachana na haya mambo ya kijinga jinga ya uswahilini lakini kumbe nilijidanganya.
Inasikitisha sana mpwa.
Ova