Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

alafu wanajichetua hapa eti hana jipya wakati anawahenyesha balaa, duuuh!!! hii dunia wonders never seize kwakweli

Teh Teh mtani show inayo fuata inaweza kuwa kanda ya ziwa! happy monday
 
Chupa mtupige nyie,
Kutuzomea nyie,
hela mpewe nyie,
ukuta mruke nyie,
salamu mfinye nyie,
matusi ya ugumba mtoe nyie,
u KING mjipe nyie..
Video kali mtoe nyie..
Tuzo mchukue nyie..
Nigeria mtuwakilishe nyie.
Ulaya mmewakilisha nyie..
Afrima nyie..
BET nyie.

... HAYA YOTE HAYO TUNAWAACHIA, MMESHINDA.

MTUACHE NA DIAMOND BASI. TUACHE MBINGU NA NCHI ZISHUHUDIE UKWELI.
 
Chupa mtupige nyie,
Kutuzomea nyie,
hela mpewe nyie,
ukuta mruke nyie,
salamu mfinye nyie,
matusi ya ugumba mtoe nyie,
u KING mjipe nyie..
Video kali mtoe nyie..
Tuzo mchukue nyie..
Nigeria mtuwakilishe nyie.
Ulaya mmewakilisha nyie..
Afrima nyie..
BET nyie.

... HAYA YOTE HAYO TUNAWAACHIA, MMESHINDA.

MTUACHE NA DIAMOND BASI. TUACHE MBINGU NA NCHI ZISHUHUDIE UKWELI.

utumbo mtupuuu
 
Chupa mtupige nyie,
Kutuzomea nyie,
hela mpewe nyie,
ukuta mruke nyie,
salamu mfinye nyie,
matusi ya ugumba mtoe nyie,
u KING mjipe nyie..
Video kali mtoe nyie..
Tuzo mchukue nyie..
Nigeria mtuwakilishe nyie.
Ulaya mmewakilisha nyie..
Afrima nyie..
BET nyie.

... HAYA YOTE HAYO TUNAWAACHIA, MMESHINDA.

MTUACHE NA DIAMOND BASI. TUACHE MBINGU NA NCHI ZISHUHUDIE UKWELI.

Una maanisha cc wote tulirusha chupa ?

Mbona kiba juzi alitupiwa chupa akuna aliepaniki jamaa akatumia kipaji chake mpka watoto Wa Tandale wakaacha kufanya buuuuuuh

Hela aliwapa wajela jela wanzake Wa manzese na Tandale

Kiba kapita getini anataka kuingia zake back stage mijitu imecmama mlangoni inamtumbulia macho aitaki kupisha ulitaka afanyaje Awaombe?


Mbona FA kasalimiana nae then alikua yupo place ya peke ake ulitaka awatafute akina shilole akawape mikono ? Acha ujuha we bati bovu think out f box

Wanao muita dai mgumba n team kiba au team wema ?

He is king na wote wanajua autaki ama nchi kaombe uraia Congo

Vipi bado unaendelea kudance mwana !!

Kama kuwakirisha mbona kiba alishafanya na anaendelea kufanya na izo afrimma na bet dai c Wa kwanza kuchukua wala kua nominated

Na ukweli utaushudia tu
King next show Kenya & Znz sauti za busara then atarud Mtwara akitoka apo anaenda kupanda stage moja na Queen Minaj

Inyake hii na uwasimulie wenzako uko
 
Una maanisha cc wote tulirusha chupa ?

Mbona kiba juzi alitupiwa chupa akuna aliepaniki jamaa akatumia kipaji chake mpka watoto Wa Tandale wakaacha kufanya buuuuuuh

Hela aliwapa wajela jela wanzake Wa manzese na Tandale

Kiba kapita getini anataka kuingia zake back stage mijitu imecmama mlangoni inamtumbulia macho aitaki kupisha ulitaka afanyaje Awaombe?


Mbona FA kasalimiana nae then alikua yupo place ya peke ake ulitaka awatafute akina shilole akawape mikono ? Acha ujuha we bati bovu think out f box

Wanao muita dai mgumba n team kiba au team wema ?

He is king na wote wanajua autaki ama nchi kaombe uraia Congo

Vipi bado unaendelea kudance mwana !!

Kama kuwakirisha mbona kiba alishafanya na anaendelea kufanya na izo afrimma na bet dai c Wa kwanza kuchukua wala kua nominated

Na ukweli utaushudia tu
King next show Kenya & Znz sauti za busara then atarud Mtwara akitoka apo anaenda kupanda stage moja na Queen Minaj

Inyake hii na uwasimulie wenzako uko

Ally Kiba ni KING., TUMEKUBALI.

UNA LA KUONGEZA?,?
 
teh teh teh!! mwee mtani kule hakutakuwa na ukuta wa kuruka so hautakuwa na cha kumsingizia!! happy to u too.

Teh Teh anaweza kwenda katikati ya ziwa victoria akapasua yai...
 
teh teh teh!! mwee mtani kule hakutakuwa na ukuta wa kuruka so hautakuwa na cha kumsingizia!! happy to u too.

Teh Teh mtani huko kanda ya ziwa kuna ziwa victoria ambako atakwenda kupasua yai katikati ya ziwa
 
Back
Top Bottom