Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

kkwi kwiii kwiiii! leo nakusamehe lakini siku nyingine sema "Ahsante Maalim!" na sio mwalimu! rejea post yangu #7628 lol!

Teh teh .....mimi nilikua namaanisha mwalimu wa kwenye i'lm dunia.
Kumbe wewe ni Maalim eeh?
Umenikumbusha Maalim wangu wa i'lm akhera alikua anaitwa Maalim Hassan...
Anyways.... "Ahsante Maalim......"
 
Kwa nini hawataki apendeke?


kwani wana sababu sasa!!! King anawakaba koo so asipopendwa watapumua, ila sasa ndio vile tena King ni kama maji ukisusa kunawa bado utamnywa, unaanzaje kumchukia Kiba jamani!!!
 
kwani wana sababu sasa!!! King anawakaba koo so asipopendwa watapumua, ila sasa ndio vile tena King ni kama maji ukisusa kunawa bado utamnywa, unaanzaje kumchukia Kiba jamani!!!

Hapo sasa.Kijana anatembelea nyota yake sio wale wanaotembelea kick za kipuuzi.
 
Tena mimi ndio sitaki kukuona kabisa.
Nimepotea wapi?Wenzio tupo sehemu wote akina Avemaria Matola Ms.Lincoln na geniveros.
Wewe tu ndio hatukuoni hata kukuita nasita coz ulishasema huoni notifications.


now naziona my dear, tatizo hili jukwaa mwenzio King ndio aliniletaga nilijizuiaaaa ila kwa mapenzi mazito kwa King nikajikuta naingia mzima mzima, lasivyo walaaa usingeniona, so naingiaga mara chache sana
 
Last edited by a moderator:
now naziona my dear, tatizo hili jukwaa mwenzio King ndio aliniletaga nilijizuiaaaa ila kwa mapenzi mazito kwa King nikajikuta naingia mzima mzima, lasivyo walaaa usingeniona, so naingiaga mara chache sana

Usijali my friend, nitakua nakuita kuanzia sasa.
Ila kwenye umbea unauweza?
 

Attachments

  • 1422979327409.jpg
    1422979327409.jpg
    66.4 KB · Views: 62
Back
Top Bottom