Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kiba amesha ishiwa.... Tuwe wakweli tu cz njia alizopita yeye na support aliyonayo, hakutakwa kuwa mbaaaali sna Leo hii lakin hadi hivi sasa hana jipya kabisaaa imabaki sauti tu lakin hakuna jipya!
 
Mdakuzi nimefatilia mnachosema,du!what a shame!Hizo caption zote muwe mnatupia hapa kwa ajili ya sie wa techno!
 
Last edited by a moderator:
Watulize steki hzo....sindano isije wakatikia buree.

wanahangaika hao hatari, sasa mtu hana jipya wakati anawapagawisha balaaa, kuuuuutwa ni yeye tu wanamtaja kwani hawajawaona hao wenye jipya???!!! watupishe huko
 
wanahangaika hao hatari, sasa mtu hana jipya wakati anawapagawisha balaaa, kuuuuutwa ni yeye tu wanamtaja kwani hawajawaona hao wenye jipya???!!! watupishe huko

Ha ha ha waache wafagie uwanja King apite.......mvaa visketi kakimbizwa ile mbaya
 
Ha ha ha waache wafagie uwanja King apite.......mvaa visketi kakimbizwa ile mbaya

wanajifariji tu ila wanajua King ni moto wa kuotea mbali, kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa ndio kosa!! people learn from their mistakes, so wamuache Kiba afanye yake kuongelea mambo ambayo yamepitwa na wakati kwa muda huu ambao mtu anawachachafya ni kujifariji tu, km ni ukweli na ushauri tushampa sana King, hapa kilichobaki ni shangwe tu na kuendelea kutoa ushauri pale inapobidi, sasa watu wanakurupuka tu wanabwatuuuka bila msingi.

karibuni tu mzidi kumpa hasira za kufanya mambo makubwa zaidi ili mpagawe zaidi.
 
wanajifariji tu ila wanajua King ni moto wa kuotea mbali, kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa ndio kosa!! people learn from their mistakes, so wamuache Kiba afanye yake kuongelea mambo ambayo yamepitwa na wakati kwa nuda huu ambao mtu anawachachafya ni kujifariji tu, km ni ukweli na ushauri tushampa sana King, hapa kilichobaki ni shangwe tu na kuendelea kutoa ushauri pale inapobidi, sasa watu wanakurupuka tu wanabwatuuuka bila msingi.

karibuni tu mzidi kumpa hasira za kufanya mambo makubwa zaidi ili mpagawe zaidi.

Wakapige chafya mbele......
 

Attachments

  • 1422261572586.jpg
    1422261572586.jpg
    40.6 KB · Views: 94
weee wana roho ngumu kama paka hao watarudi tu, kwa king tena!! wataenda wapi sasa!!!

Acha tu.Nimeamini wana roho ngumu kweli jana maana ni uwendawazimu kusherehekea msanii wenu kufanya ushirikina na kumwaga pesa ili amkalishe King Kiba.
Yako wapi?
 
Acha tu.Nimeamini wana roho ngumu kweli jana maana ni uwendawazimu kusherehekea msanii wenu kufanya ushirikina na kumwaga pesa ili amkalishe King Kiba.
Yako wapi?

alafu wanajichetua hapa eti hana jipya wakati anawahenyesha balaa, duuuh!!! hii dunia wonders never seize kwakweli
 
Yaani wewe?...basi tu.
The same to you Le Super Lawyer.

Teh Teh Ngoja niondoe maneno yangu japo huo mlango haujawekwa wazi kama ni wa Leaders au back stage....

Uknw nafuta maneno yangu mpaka hapo ushahidi wa kuruka ukuta utakapo letwa.
 
Back
Top Bottom