Haha haaaaa,mimi napenda maji POA mumy.....
Nikipate wapi?Niko hapa tu nimeshika tama cake nimenunua mie halafu hata kipande sipewi!
usishike tama mama karibu nikulishe mwenyewe
Hebu funguka bibie.
Pole kwa mihangaiko!Pata maji baridi kwanza,maana utokako fulluu bp...!Hebu funguka bibie.
Pole kwa mihangaiko!Pata maji baridi kwanza,maana utokako fulluu bp...!
hahahaaaa!!!
na mie nataka maji baridi
Kama yana limbwata? Sasa wewe wa kike sijui itakuwaje?
yaani watu kila afanyacho king wanaumia balaaa!! sasa wanataka wampangie na vya kufanya na kupost kwenye wall zake!!! khaaaa midume mingine taabu tupu!
Kibaaaaaaaaa!!! fanya yako baba na bado ndio kwanzaaaaa jua lachomoza
Wamebakiza kuzusha Kiba anamroga Diamondi mbegu zake zisitunge mimba.
Wamebakiza kuzusha Kiba anamroga Diamondi mbegu zake zisitunge mimba.[/QUOT
Khaaa khaaa watasema tu kamroga mbegu zisitunge mimba !!
Wamebakiza kuzusha Kiba anamroga Diamondi mbegu zake zisitunge mimba.[/QUOT
Khaaa khaaa watasema tu kamroga mbegu zisitunge mimba !!
Hapa ndio Uanaume unapokamilika. Dume hata uweje kama huna shabaha ni useless, itabidi umpeleke mkeo kwa Kiba ampige dushe akusitiri.
Hapa ndio Uanaume unapokamilika. Dume hata uweje kama huna shabaha ni useless, itabidi umpeleke mkeo kwa Kiba ampige dushe akusitiri.
Yah co kugeuzwa kitega uchumi alafu heshima uachi
Ha ha ha!Haaaa!!uwiii
Hapa ndio Uanaume unapokamilika. Dume hata uweje kama huna shabaha ni useless, itabidi umpeleke mkeo kwa Kiba ampige dushe akusitiri.
Hapa ndio Uanaume unapokamilika. Dume hata uweje kama huna shabaha ni useless, itabidi umpeleke mkeo kwa Kiba ampige dushe akusitiri.
kwikwikwiiiii