Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Haha haaaaa,uwiiiiiiii Sangoma umetisha sana aiseee...

alafu wanaoona tunafanya ujinga ndio tunashinda nao humu, sasa cjui wao timamu humu wanafuata nn mpaka na muda wa kucoment wanao!!!! duuuh kaazi kwelikweli
 
Last edited by a moderator:
Haha haaaa,umenikumbusha kuna mtu anayapenda hayo maji hatariiii.

yaani mimi ndio kilevi changu, maji mengine huwa naona hayana ladha kabisaa(mweee cjui maji yana ladha!!!) haya maji matamu aisee,
ucjali tangazo nimelipia
 
alafu wanaoona tunafanya ujinga ndio tunashinda nao humu, sasa cjui wao timamu humu wanafuata nn mpaka na muda wa kucoment wanao!!!! duuuh kaazi kwelikweli

Shoga nimeogopa hatariii baada ya kumuona Sangoma kwenye notifications nikadhani tumekwisha kumbe ni member mwenzetu wa Kiba fans lovely family!
Achana nao stress za maisha zinawasumbua hao.
 
Last edited by a moderator:
alafu wanaoona tunafanya ujinga ndio tunashinda nao humu, sasa cjui wao timamu humu wanafuata nn mpaka na muda wa kucoment wanao!!!! duuuh kaazi kwelikweli

Ubinadam kazi ndugu jamaa amekaa chini kafikiria wazo la kiungwana ajatukana mtu wala kuponda mtu yoyote katengeneza uzi kwa ajiri ya watu wenye mapenzi na kiba wewe auna mapenzi na kiba unaingia kufanya nini mara matusi si poa waungwana vwe wastarabu hata kwa kujilazmisha.
 
yaani mimi ndio kilevi changu, maji mengine huwa naona hayana ladha kabisaa(mweee cjui maji yana ladha!!!) haya maji matamu aisee,
ucjali tangazo nimelipia

Eti eeh?basi mimi nikinywa yananiumiza tumbo my dear...I don't really know what's wrong with me!

Hahaaaaa,eti umeshalipia tangazo!Ulidhani nitakushushua?akaah....
 
Shoga nimeogopa hatariii baada ya kumuona Sangoma kwenye notifications nikadhani tumekwisha kumbe ni member mwenzetu wa Kiba fans lovely family!
Achana nao stress za maisha zinawasumbua hao.

ndio maana nimempa maji bwana, maana katoa point ya nguvu
 
Last edited by a moderator:
Kiba you rock dude keep it up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



























ali-kiba.jpg
 
Umemuona shoga yako Paula kilaki maneno aliyoyazungumza kule. Eti vimalaya vya Alikiba tupo na identity zetu humu.....hahahaaaaa!! nilishangaa sana walomtetea siku ile eti kaitwa voda fasta!!

tafuta namna nyingine ya kunichafua dada sijasema hivyo, khaaah!!!
 
Last edited by a moderator:
Umemuona shoga yako Paula kilaki maneno aliyoyazungumza kule. Eti vimalaya vya Alikiba tupo na identity zetu humu.....hahahaaaaa!! nilishangaa sana walomtetea siku ile eti kaitwa voda fasta!!

cha mno cha kunilisha maneno mdomoni ili tu kunitia doa?? ukiona vema kuniita voda fasta go on ila sijamuita any kiba's fun malaya. i asked you many time uhighlight nilipowaita malaya you did not unalazimisha maneno niliyoyasema kwa kiba kuwa nilikuambia wewe. bahati nzuri hiyo comment #16 uliosema nimekuita malaya hata jina lako sikulitaja wala la yoyote yule. anyway i realize its hard to work with u people.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom