Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
Abou Saydou anapenda utube huyo ila hajijui tu
Sidhani kama hili Tamkooz lako atalipinga...lol
Last edited by a moderator:
Abou Saydou anapenda utube huyo ila hajijui tu
Hapo sawa,maana ukimwangalia ni kama hajakaa sura ya kudance,nikawa najiuliza labda mauno mengine
tupo mama, hilo la Matola inabidi tukuulize wewe maana ndio mlokuwa mnaongelea project
hahahaaaa!!! sio utata bwana, she was a dancer na ndio kazi ilompelekaga huko walikwenda na band km ckosei
mmmhh!! kwani ndio kazi anofanya????
mie now najua ni mjasiriamali she has a blog n a botique
Dah,nimekosa bongez la interview aisee...ngoja nitajaribu kucheki saa 20:00 au 24:00 si hua wanarudia eeh?
Haha haaaa,umenichekesha ujue? Ms.Lincoln anatuona watoto sana..
Jasir aachi asil
Haha haaaa,itafahamika tu,tuvute muda.
Penzi halifichiki bwana,amesahau yangu na Mdakuzi?yako wapi?
Heheheeeee
Hamjambo?Mambo ya project za mbari jamani!Mpoo etiii! Matola umetekwa mazima?
Hatariiiii!kaka!kaka!ha ha ha ha!
hahahaaaa!!! time ll tell mie nipo kupiga vigelegele tu
Sijaona na hii pia!Umemfungia kwenye project 🏃🏃🏃🏃