SEMA WEWE UNAMUUNGA MKONO SIYO WAISLAMU WOTE. KUUNGA MKONO NI HAKI YAKO LAKINI WEWE SI MSEMAJI WA WAISLAM WOTE
Nimemuelewa ila sijamwamini..... zinaandaliwa mbili; whatever the results shall be, you deliver the right one. Ndicho alichomaanisha.
Wewe utakuwa mpumbv mwenzao ukishaweka mambo ya dini kwenye siasa ndani ya nchi yenye dini tofauti tegemea machafuko. Facts.Huenda mpumbavu ikawa ni wewe., dini na siasa ni baba mmoja mama mmoja, kiongozi wetu na mtukufu wa daraja Mtume wetu Muhammad S.A.W alikuwa anaongoza dola ya kiislamu, vipi utaongoza na kushika dola za kiislamu bila ya kuwa mwanasiasa, kilichomvutia Sheikh Ponda kwa Tundu Lissu ni kwamba pamoja na kwamba Lissu ni mkiristo lakini mara zote Lissu amekuwa akisisitiza katika uongozi wake atakuwa anatenda HAKI na haki ndio msingi mkuu wa dini ya Kiislamu, kwanini Waislamu wachelewe kuumunga mkono mtu ambaye ataongoza kwa haki?
Next time watajipangia Kuzimu !!Kinachowatokea ccm awamu hii hawajaamini maana walijua itakua mseleleko mwaka huu. Next time watajipanga
Ni mjumbe kwenye baraza lautendaji Bakwata na shura ya maimamu na huu ndio msimamo wetu na kwa waumini wetu.SEMA WEWE UNAMUUNGA MKONO SIYO WAISLAMU WOTE. KUUNGA MKONO NI HAKI YAKO LAKINI WEWE SI MSEMAJI WA WAISLAM WOTE
Clip ya shehe inazunguka kwenye maguroup ya waislamu balaa toka jana usiku ..
Kuna group moja nimo la shule ya kiislamu hii clip imerushwa watu wote na walimu wame react very postive.......
Aisee yaani ni kwamba CCM haina chake kwenye uchaguzi huu.
waislam gani hao unaowaongelea?Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....
CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....
Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..
NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.
Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Mimi nipo kwenye group la masheik hawamtambui huyo Ponda na wala hata sidhani kama kuna atayekwenda kupiga kura kwa influence yake.
Tulia wewe, Polepole na Bashiru wanaendesha kampeni za kisayansi, kabla ya kuanza kampeni walikuwa na ushindi wa zaidi ya 70%, sasa hivi wana wanachama milioni 17 na kila mwanachama ameambiwa akatafute watu watatu wa kuipigia kura CCM, inamaana Chama kinaungwa mkono na watu milioni 51, idadi ambayo ni kubwa kuliko hata wapiga kura waliojiandikisha.Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....
CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....
Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..
NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.
Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Kapongezwa na Mabeberu.....!!Shehe Ponda hamzidi umaarufu shehe msomi Dr alhad Musa Salum wa Bakwata ambaye jana amepongezwa na Marekani.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu sitaki kuwa msemaji as chadema katika hili ..lakin ninauhakika hawawezi kukosa kitu kama hicho na lazima kitakuwa kwa siri mahali fulani kwani uchaguzi ukipoita sote tunakunbuka nini kiliwapataKura haziibiwi kwenye kituo cha kupiga kura, kura za Rais zinaibiwa kwenye majumuisho ya nchi nzima.
Hakuna namna yoyote ya kuiba kura mkiwa na mawakala wakweli na mkawa na senta yenu kila kata ya kujumlisha kura za diwani, kura za jimbo na kura za Rais.
Huitaji Tume ya uchaguzi kukutangazia mshindi, mshindi mnamjuws nyinyi wenyewe mkiwa na timu nzuri ya kuratibu ukusanyaji wa nakala za matokeo kila kata, jimbo na mkoa kwa ujumla.
Maalim Seif huwa anakuwa ameshaliza majumuisho ya kura kabla ya Zec na ndio maana Jecha akaona isiwe tabu bora afute uchaguzi.
Nina wasiwasi mkubwa na Chadema sidhani kama wana timu ya uhakiks ya kusimamia kura za urais.
Makao makuu ya Chadema pamepwaya hakuna briefings zozote za uchaguzi badala yake sasa Lisu ndio anaibeba Chadema.
Kwenye uchaguzi uliopita Ukawa walikuwa na ngome yao Kawe kwa ajili ya briefings, kule Kenya Odinga alikuwa na ngome yao waliita Pentagon ndio ilikuwa inaratibu, lakini Chadema sijui tatizo ni nini?
Bila Lisu kurudi ni kweli Chadema ilikuwa inakwenda kupata aibu ya mwaka, ila Mungu mkubwa Lisu amerudi amebadili upepo ccm inakwenda kuangushwa, lakini kuna mikakati gani ya kichama badala ya kumtegemea Lisu kwa kila kitu?