Albert Msando, Mkuu wa Wilaya UBUNGO anatafuta Hela kinguvu kupitia makosa ya uonevu barabarani

Albert Msando, Mkuu wa Wilaya UBUNGO anatafuta Hela kinguvu kupitia makosa ya uonevu barabarani

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,809
Reaction score
8,970
CHALAMILA nakuita tena mara ya Pili! Nilishakukumbusha kuwa huyu Albert Msando ni njaa sana anatafta kuonekana anafanya kazi ili ufukuzwe wewe hapo akae yeye!

tokea amekuja Ubungo akili yake ipo kugombana na madereva tu ili apate hela kupitia polisi na makampuni ya UDALALI

aiianza na kusema atakamata wanaotanua njiani! akaja na kusema ataeka CAMERA naona ishu ikamuwia ngumu! sasa kaja na KAMPUNI YA UDALALI ya BOSSKAZI ili kukomaa apate hela za kufanyia UZINZI vizuri!

CHALAMILA nakuhakikishia huyu MSANDO anakupaka kinyesi! hii DAR ES SALAAM yooote ipo katika hatua za ujenzi kwa hiyo miundombinu yote ya barabara haijakaa vizuri kwa nini kosa la Serikali wawe wanabebeshwa mzigo WAPIGA KURA?

hivi MNAJUA wanachofanya hao madalali katika uonevu wao huo wanafikia kuchukua VYOMBO VYA MOTO KINGUVU na kuondoka navyo bila wenye Mali? je huo sio ujambazi

JE NI SAWA KWA UBUNGO KUWA NA KAMPUNI HII WAKATI KATIKATI YA JIJI NDIO KWENYE SHIDA YA PARKING NA UJINGA HUU HAUPO wa kuonea?

CHALAMILA FUTA KAMPUNI ZA UONEVU! mdhibiti MSANDO kabla hujatoka wewe! usiseme sijakuambia

#
Aliyetulete MSANDO ubungo mie nasema ipo siku huyu kitamkuta kitu
 
hivi MNAJUA wanachofanya hao madalali katika uonevu wao huo wanafikia kuchukua VYOMBO VYA MOTO KINGUVU na kuondoka navyo bila wenye Mali? je huo sio ujambazi
 
Mkuu, tulipokutana pale baa sinza nilikuonya kwamba umelewa sana usiendeshe gari kwa kuwa ubungo kuna ukaguzi mkali. Ukabisha, haya sasa usiku huu wamekudaka unaanza kulia
adakwe nani? mie hao wanaeza ondoka na ulemavu
 
CHALAMILA nakuita tena mara ya Pili! Nilishakukumbusha kuwa huyu Albert Msando ni njaa sana anatafta kuonekana anafanya kazi ili ufukuzwe wewe hapo akae yeye!
Hivi huyu si ndio alikua sijui DC Morogoro? Kama ni yeye basi ni mpumbavu sana alikua anagawa vizimba kwenye soko kuu Morogoro kwa rushwa ya ngono na fedha na kujuana wakati lile soko linaanza. Amekula madem sana pale
 
Hivi huyu si ndio alikua sijui DC Morogoro? Kama ni yeye basi ni mpumbavu sana alikua anagawa vizimba kwenye soko kuu Morogoro kwa rushwa ya ngono na fedha na kujuana wakati lile soko linaanza. Amekula madem sana pale
Kumbe naye ni muhuni pia kama rafiki yake yule mwenezi? Ila Msando alikuwa smart sana kabla ya Uccm hauja muingia sana!
Yaani ukiuruhusu uccm ukuzoee basi ujue utaishiwa kuharibikiwa tuu
 
Ni aibu kubwa kwa nchi barabara ya juu inajengwa jangwani foleni ni kali mno maofisa wanachelewa kazini wengine wanapanda boda kuwahi kazini na wakati wa kurudi pia boda akijichanganya kupita mwendokasi kuna raia pale jangwani hasa usiku kuna giza wana fimbo za kuulia ng'ombe wanachapa haswa boda na abiria (maofisa) na kuzikamata, kwanini serikali iruhusu ukamataji jangwani jambo linalohatarisha usalama maana boda zinakuja kasi ya radi ghafla gizani fimbo zinaanza, raia wapite wapi sasa barabara moja magari milioni? Hii nchi hatuna akili kabisa raia wanazuiwa kupita barabara isiyo na magari!!!

kwanini boda wasiruhusiwe kupita mwendokasi pale jangwani wakati huu wa ujenzi na mabasi yenyewe hamna? Boda wanabeba maofisa pia kuwawahisha kazini na kuwarudisha home.

Hayo ya ubungo ni mengine pia mtajuana huko wenyewe Msondi vs Gigi Moni vs raia!!
 
CHALAMILA nakuita tena mara ya Pili! Nilishakukumbusha kuwa huyu Albert Msando ni njaa sana anatafta kuonekana anafanya kazi ili ufukuzwe wewe hapo akae yeye!

tokea amekuja Ubungo akili yake ipo kugombana na madereva tu ili apate hela kupitia polisi na makampuni ya UDALALI

aiianza na kusema atakamata wanaotanua njiani! akaja na kusema ataeka CAMERA naona ishu ikamuwia ngumu! sasa kaja na KAMPUNI YA UDALALI ya BOSSKAZI ili kukomaa apate hela za kufanyia UZINZI vizuri!

CHALAMILA nakuhakikishia huyu MSANDO anakupaka kinyesi! hii DAR ES SALAAM yooote ipo katika hatua za ujenzi kwa hiyo miundombinu yote ya barabara haijakaa vizuri kwa nini kosa la Serikali wawe wanabebeshwa mzigo WAPIGA KURA?

hivi MNAJUA wanachofanya hao madalali katika uonevu wao huo wanafikia kuchukua VYOMBO VYA MOTO KINGUVU na kuondoka navyo bila wenye Mali? je huo sio ujambazi

JE NI SAWA KWA UBUNGO KUWA NA KAMPUNI HII WAKATI KATIKATI YA JIJI NDIO KWENYE SHIDA YA PARKING NA UJINGA HUU HAUPO wa kuonea?

CHALAMILA FUTA KAMPUNI ZA UONEVU! mdhibiti MSANDO kabla hujatoka wewe! usiseme sijakuambia

#
Aliyetulete MSANDO ubungo mie nasema ipo siku huyu kitamkuta kitu
Nyie Muna bifu lenu

Malizaneni Nje ya uwanja
 
Kumbe naye ni muhuni pia kama rafiki yake yule mwenezi? Ila Msando alikuwa smart sana kabla ya Uccm hauja muingia sana!
Yaani ukiuruhusu uccm ukuzoee basi ujue utaishiwa kuharibikiwa tuu
Bado Msondo yuko smart sana hadi sasa, nimeona akimjibu Slow2 kwa weledi mno hadi digidigi kashindwa kabisa kupangua hoja ya uhalali wa kisheria wa kuchaguliwa Bimkubwa na mkutano mkuu hoja Msondo kaizika rasmi sasa mhuni digidigi karukia hoja ya mifumo kusomana ili kuiba kura!

Mama mitano tena watu weweee! Ccm mbele kwa mbele!
 
CHALAMILA nakuita tena mara ya Pili! Nilishakukumbusha kuwa huyu Albert Msando ni njaa sana anatafta kuonekana anafanya kazi ili ufukuzwe wewe hapo akae yeye!

tokea amekuja Ubungo akili yake ipo kugombana na madereva tu ili apate hela kupitia polisi na makampuni ya UDALALI

aiianza na kusema atakamata wanaotanua njiani! akaja na kusema ataeka CAMERA naona ishu ikamuwia ngumu! sasa kaja na KAMPUNI YA UDALALI ya BOSSKAZI ili kukomaa apate hela za kufanyia UZINZI vizuri!

CHALAMILA nakuhakikishia huyu MSANDO anakupaka kinyesi! hii DAR ES SALAAM yooote ipo katika hatua za ujenzi kwa hiyo miundombinu yote ya barabara haijakaa vizuri kwa nini kosa la Serikali wawe wanabebeshwa mzigo WAPIGA KURA?

hivi MNAJUA wanachofanya hao madalali katika uonevu wao huo wanafikia kuchukua VYOMBO VYA MOTO KINGUVU na kuondoka navyo bila wenye Mali? je huo sio ujambazi

JE NI SAWA KWA UBUNGO KUWA NA KAMPUNI HII WAKATI KATIKATI YA JIJI NDIO KWENYE SHIDA YA PARKING NA UJINGA HUU HAUPO wa kuonea?

CHALAMILA FUTA KAMPUNI ZA UONEVU! mdhibiti MSANDO kabla hujatoka wewe! usiseme sijakuambia

#
Aliyetulete MSANDO ubungo mie nasema ipo siku huyu kitamkuta kitu
Sasa kama makosa ya serikali wanabebeshwa WAPIGA KURA kuna ubaya gani?
Wapiga kura ni machawa ya mama ila hayo makosa tunabebeshwa hadi chadema ambao siyo wapiga kura.
Andika vizuri huo uzi wako, siyo kuandika kichawachawa eti wapiga kura, hakuna uchaguzi hapa.
 
Ni aibu kubwa kwa nchi barabara ya juu inajengwa jangwani foleni ni kali mno maofisa wanachelewa kazini wengine wanapanda boda kuwahi kazini na wakati wa kurudi pia boda akijichanganya kupita mwendokasi kuna raia pale jangwani hasa usiku kuna giza wana fimbo wanachapa boda na abiria (maofisa) na kuzikamata, kwanini serikali iruhusu ukamataji jangwani jambo linalohatarisha usalama maana boda zinakuja kasi fimbo zinaanza, raia wapite wapi sasa barabara moja magari milioni?

kwanini boda wasiruhusiwe kupita mwendokasi pale jangwani wakati huu wa ujenzi na mabasi yenyewe hamna? Boda wanabeba maofisa pia kuwawahisha kazini na kuwarudisha home.

Hayo ya ubungo ni mengine pia mtajuana huko wenyewe Msondi vs Gigi Moni vs raia!!
Ni aibu sana kuwa na mawazo mshazari kama haya
 
Juzi kati kuna dogo dereva wa bajaj,ilimzimikia shekilango pale,akashusha abiria,halafu akaisogeza pembeni ya barabara,jamaa wa wrong park ghafla hawa hapa,kumuachia wanadai awape laki 3!mwisho wakambribe elfu 30 ndio wakamuachia,yan hata gari au bajaj ikikuharibikia jamaa awaelewi,wanafosi vibaya mni,hivi bunge lilikaa lini na kupitisha sheria ya wrong park fine elfu 80!mtu ukitulia na kupata wakili mzuri unaishtaki wilaya ya ubungo,kwanza ndio wilaya duni kimiundo mbinu kuliko wilaya zote kwa dar
 
Tun
Ni aibu kubwa kwa nchi barabara ya juu inajengwa jangwani foleni ni kali mno maofisa wanachelewa kazini wengine wanapanda boda kuwahi kazini na wakati wa kurudi pia boda akijichanganya kupita mwendokasi kuna raia pale jangwani hasa usiku kuna giza wana fimbo wanachapa boda na abiria (maofisa) na kuzikamata, kwanini serikali iruhusu ukamataji jangwani jambo linalohatarisha usalama maana boda zinakuja kasi fimbo zinaanza, raia wapite wapi sasa barabara moja magari milioni?

kwanini boda wasiruhusiwe kupita mwendokasi pale jangwani wakati huu wa ujenzi na mabasi yenyewe hamna? Boda wanabeba maofisa pia kuwawahisha kazini na kuwarudisha home.

Hayo ya ubungo ni mengine pia mtajuana huko wenyewe Msondi vs Gigi Moni vs raia!!
Pia RPC wa Pwani tunakutaka kukomesha uchafu unaofanywa na askari wako wa usalama barabarani kuanzia Msata kwenda Bagamoyo,walioweka kambi mbele ya mizani ya Bagamoyo.Wanabambikia watu speed na ni wala rushwa wakubwa. Ile speed gun Yao kuna namna wameichezea! Tumefanya utafiti Maana tunapita njia hiyo Kila mara na tunatambua wapo kuanzia eneo la Mwetemo hadi unaingia B. Moyo. Na kwenye speed limit ya 50 tunajihami kwa kufuata Sheria,wkt mwingine unatembea 45kph ila ukifika unaambiwa ulikuwa 56. Na rushwa Yao ni kuanzia 10,000 ndio wasikuandikie,huna hiyo unalimwa notification. Yamenona mashavu kumbe yananuka rushwa tu! Tunataka RPC ufuatilie kwasababu wanalichafua jeshi. Tunakumbuka tulitoa taarifa kuhusu wale wanaokuwa kwenye mizani iliyopo kati ya Wami na Kihangaiko. Walivyokuwa wakibambikia speed kwenye eneo la mto Wami,. Tunamshukuru lilifanyiwa kazi na ujinga ule haupo tena. Asante.
 
CHALAMILA nakuita tena mara ya Pili! Nilishakukumbusha kuwa huyu Albert Msando ni njaa sana anatafta kuonekana anafanya kazi ili ufukuzwe wewe hapo akae yeye!

tokea amekuja Ubungo akili yake ipo kugombana na madereva tu ili apate hela kupitia polisi na makampuni ya UDALALI

aiianza na kusema atakamata wanaotanua njiani! akaja na kusema ataeka CAMERA naona ishu ikamuwia ngumu! sasa kaja na KAMPUNI YA UDALALI ya BOSSKAZI ili kukomaa apate hela za kufanyia UZINZI vizuri!

CHALAMILA nakuhakikishia huyu MSANDO anakupaka kinyesi! hii DAR ES SALAAM yooote ipo katika hatua za ujenzi kwa hiyo miundombinu yote ya barabara haijakaa vizuri kwa nini kosa la Serikali wawe wanabebeshwa mzigo WAPIGA KURA?

hivi MNAJUA wanachofanya hao madalali katika uonevu wao huo wanafikia kuchukua VYOMBO VYA MOTO KINGUVU na kuondoka navyo bila wenye Mali? je huo sio ujambazi

JE NI SAWA KWA UBUNGO KUWA NA KAMPUNI HII WAKATI KATIKATI YA JIJI NDIO KWENYE SHIDA YA PARKING NA UJINGA HUU HAUPO wa kuonea?

CHALAMILA FUTA KAMPUNI ZA UONEVU! mdhibiti MSANDO kabla hujatoka wewe! usiseme sijakuambia

#
Aliyetulete MSANDO ubungo mie nasema ipo siku huyu kitamkuta kitu
Laana ya kuvunja kanisa la KKAM, inamsumbua.
 
Hakuna watu wapumbavu kama dereva ambaye akikuta foleni anatanua.
Kufanya hivyo kunaongeza foleni mara 100%.
 
CHALAMILA nakuita tena mara ya Pili! Nilishakukumbusha kuwa huyu Albert Msando ni njaa sana anatafta kuonekana anafanya kazi ili ufukuzwe wewe hapo akae yeye!

tokea amekuja Ubungo akili yake ipo kugombana na madereva tu ili apate hela kupitia polisi na makampuni ya UDALALI

aiianza na kusema atakamata wanaotanua njiani! akaja na kusema ataeka CAMERA naona ishu ikamuwia ngumu! sasa kaja na KAMPUNI YA UDALALI ya BOSSKAZI ili kukomaa apate hela za kufanyia UZINZI vizuri!

CHALAMILA nakuhakikishia huyu MSANDO anakupaka kinyesi! hii DAR ES SALAAM yooote ipo katika hatua za ujenzi kwa hiyo miundombinu yote ya barabara haijakaa vizuri kwa nini kosa la Serikali wawe wanabebeshwa mzigo WAPIGA KURA?

hivi MNAJUA wanachofanya hao madalali katika uonevu wao huo wanafikia kuchukua VYOMBO VYA MOTO KINGUVU na kuondoka navyo bila wenye Mali? je huo sio ujambazi

JE NI SAWA KWA UBUNGO KUWA NA KAMPUNI HII WAKATI KATIKATI YA JIJI NDIO KWENYE SHIDA YA PARKING NA UJINGA HUU HAUPO wa kuonea?

CHALAMILA FUTA KAMPUNI ZA UONEVU! mdhibiti MSANDO kabla hujatoka wewe! usiseme sijakuambia

#
Aliyetulete MSANDO ubungo mie nasema ipo siku huyu kitamkuta kitu
Kwangu mimi wewe umekiri mji wote upo kwenye ujenzi wa Barabara. Mpaka kigambon kunajengwa lkn kuna makanisa yanadanganya waumini wao eti Mama anaharibu nchi watu wanafiki sana njamazao za kishetani!!! Wakiona Sadaka zimepungua kwao!!

wanaimiza wananchi kumkataa kiongoz mchapakazi sijui tunaacha kunywa Novida mnazingua mjue japo tunawaheshimu!!!!

Msando punguza fujo Ubungo

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ni mpango wa mungu October tunatiki ✅️
 
Back
Top Bottom