Nusu ya ardhi katika Kaunti ya Mandera nchini Kenya kudhibitiwa na kundi la Al-Shabaab la Somalia

Remark

JF-Expert Member
Aug 15, 2015
447
856
Hawa jamaa wanadharau sana.

"Huenda zaidi ya nusu ya ardhi katika Kaunti ya Mandera nchini Kenya kudhibitiwa na kundi la Al-Shabaab la Somalia

Habari zinasema, kundi Al-Shabaab la Somalia limefanya mashambulizi mfululizo katika Kaunti ya Mandera, nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu na uharibifu mkubwa. Athari za Al-Shabaab zimeenea katika Kaunti ya Mandera na maeneo ya karibu ya Banisa, Lamu, na Takaba, hivyo kuleta wasiwasi mkubwa na pia kusababisha maswali kuhusu maandalizi ya kupambana na ugaidi.

Awali, kiongozi wa Kaunti ya Mandera, Ali Roba alionya kuwa wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab walidhibiti zaidi ya nusu ya kaunti hiyo na barabara nyingi.

Naye mratibu wa Kanda ya Kaskazini mashariki mwa Kenya Nicodemus Ndalana pia alikiri kwamba wapiganaji hao wameingia katika kaunti hiyo, na wameweka kambi ndani na karibu na Kaunti ya Mandela, na pia wanafanya biashara ya dawa za kulevya, hivyo kusababisha hali ya usalama kuwa mbaya zaidi."

Habari zinasema, katika miezi mitatu iliyopita, wapiganaji wa Al-Shabaab wamethibiti msikiti wa eneo hilo, kukusanya ushuru kutoka kwa wauzaji wa ndani, na kuharibu vifaa vingi vya mawasiliano.

Serikali ya Kenya imepanga kukutana na wakaazi wa eneo hilo ili kupanga mkakati wa kupambana na kundi la Shabaab.
 
😂😂😂 propaganda.
Siamini kiongozi wa kanda na wa kaunti wamenukuliwa wakielezea hayo matukio then wewe mwanadamu uite useme ni propaganda

"Awali, kiongozi wa Kaunti ya Mandera, Ali Roba alionya kuwa wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab walidhibiti zaidi ya nusu ya kaunti hiyo na barabara nyingi. Naye mratibu wa Kanda ya Kaskazini mashariki mwa Kenya Nicodemus Ndalana pia alikiri kwamba wapiganaji hao wameingia katika kaunti hiyo, na wameweka kambi ndani na karibu na Kaunti ya Mandela, na pia wanafanya biashara ya dawa za kulevya, hivyo kusababisha hali ya usalama kuwa mbaya zaidi."
 
Siamini kiongozi wa kanda na wa kaunti wamenukuliwa wakielezea hayo matukio then wewe mwanadamu uite useme ni propaganda

"Awali, kiongozi wa Kaunti ya Mandera, Ali Roba alionya kuwa wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab walidhibiti zaidi ya nusu ya kaunti hiyo na barabara nyingi. Naye mratibu wa Kanda ya Kaskazini mashariki mwa Kenya Nicodemus Ndalana pia alikiri kwamba wapiganaji hao wameingia katika kaunti hiyo, na wameweka kambi ndani na karibu na Kaunti ya Mandela, na pia wanafanya biashara ya dawa za kulevya, hivyo kusababisha hali ya usalama kuwa mbaya zaidi."
Huyo hata ukabila Kenya anaita ni propaganda
 
Hawa jamaa wanadharau sana..
"Huenda zaidi ya nusu ya ardhi katika Kaunti ya Mandera nchini Kenya kudhibitiwa na kundi la Al-Shabaab la Somalia
Habari zinasema, kundi Al-Shabaab la Somalia limefanya mashambulizi mfululizo katika Kaunti ya Mandera, nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu na uharibifu mkubwa. Athari za Al-Shabaab zimeenea katika Kaunti ya Mandera na maeneo ya karibu ya Banisa, Lamu, na Takaba, hivyo kuleta wasiwasi mkubwa na pia kusababisha maswali kuhusu maandalizi ya kupambana na ugaidi.
Awali, kiongozi wa Kaunti ya Mandera, Ali Roba alionya kuwa wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab walidhibiti zaidi ya nusu ya kaunti hiyo na barabara nyingi. Naye mratibu wa Kanda ya Kaskazini mashariki mwa Kenya Nicodemus Ndalana pia alikiri kwamba wapiganaji hao wameingia katika kaunti hiyo, na wameweka kambi ndani na karibu na Kaunti ya Mandela, na pia wanafanya biashara ya dawa za kulevya, hivyo kusababisha hali ya usalama kuwa mbaya zaidi."
Habari zinasema, katika miezi mitatu iliyopita, wapiganaji wa Al-Shabaab wamethibiti msikiti wa eneo hilo, kukusanya ushuru kutoka kwa wauzaji wa ndani, na kuharibu vifaa vingi vya mawasiliano.
Serikali ya Kenya imepanga kukutana na wakaazi wa eneo hilo ili kupanga mkakati wa kupambana na kundi la Shabaab.
Hii ndio maana ya jeshi imara
 
Kenya inajisikia vibaya kuomba msaada kwa Tanzania ili kupambana na Alshabaab, yaani kwao ni bora raia wa Kenya wauliwe kuliko kuomba msaada kwa Tanzania, kweli akili za wakenya ni akili za ajabu.
Siamini kiongozi wa kanda na wa kaunti wamenukuliwa wakielezea hayo matukio then wewe mwanadamu uite useme ni propaganda

"Awali, kiongozi wa Kaunti ya Mandera, Ali Roba alionya kuwa wapiganaji wa kundi la Al-Shabaab walidhibiti zaidi ya nusu ya kaunti hiyo na barabara nyingi. Naye mratibu wa Kanda ya Kaskazini mashariki mwa Kenya Nicodemus Ndalana pia alikiri kwamba wapiganaji hao wameingia katika kaunti hiyo, na wameweka kambi ndani na karibu na Kaunti ya Mandela, na pia wanafanya biashara ya dawa za kulevya, hivyo kusababisha hali ya usalama kuwa mbaya zaidi."
Kama wangekuwa Wana control hata 1/4 ya ardhi ya mandera ..IEDs zingekuwa zina lipuka kila siku.
 
Kama wangekuwa Wana control hata 1/4 ya ardhi ya mandera ..IEDs zingekuwa zina lipuka kila siku.
Naona Unawapangia cha kufanya wakati hapa wameelezea troubles ambazo tayar wameleta..

"Habari zinasema, kundi Al-Shabaab la Somalia limefanya mashambulizi mfululizo katika Kaunti ya Mandera, nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu na uharibifu mkubwa. Athari za Al-Shabaab zimeenea katika Kaunti ya Mandera na maeneo ya karibu ya Banisa, Lamu, na Takaba, hivyo kuleta wasiwasi mkubwa na pia kusababisha maswali kuhusu maandalizi ya kupambana na ugaidi."

Kitu ambacho sielewi habar kama hizi hamtangaziwi kwenye media zenu ama vipi maana habar kama hii nilitegemea iwe mnaifaham coz si jambo dogo hili
 
Naona Unawapangia cha kufanya wakati hapa wameelezea troubles ambazo tayar wameleta..

"Habari zinasema, kundi Al-Shabaab la Somalia limefanya mashambulizi mfululizo katika Kaunti ya Mandera, nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu na uharibifu mkubwa. Athari za Al-Shabaab zimeenea katika Kaunti ya Mandera na maeneo ya karibu ya Banisa, Lamu, na Takaba, hivyo kuleta wasiwasi mkubwa na pia kusababisha maswali kuhusu maandalizi ya kupambana na ugaidi."

Kitu ambacho sielewi habar kama hizi hamtangaziwi kwenye media zenu ama vipi maana habar kama hii nilitegemea iwe mnaifaham coz si jambo dogo hili
Huu ni uongo mtupu. Huyo governor anajulikana kuwa mwongo.
 
Back
Top Bottom