Kama siyo mhalifu, hofu ya nini?
Watu wawili Kioanya, Zito ndiyo watanzania hao?
Utafiti was wapi huo? Au na All jazira wamekuwa poyoyo kama Tanzania Daima?
Kama ambavyo mh Mbowe alivyoshambuliwa hivi karibuni na kundi la wasio julikana na kuvunjwa mguu ama sivyo mkuu?
Unamaanisha nini kutawaliwa bila ridhaa yao?
Pamoja na hayo ila chadema na upinzani huu uchwara lazima wapotee kwenye sura ya siasa...Ni mjinga tu ambaye haioni hali hiyo. Angalia vyombo vya habari visivyoweza kusema au kufanya uchambuzi huru
Kwa nini hawakwenda hoji raia wa kawaida kabisa mitaani?
Kwahiyo ndio anatawala bila ridhaa ya wananchi, kwani walio muweka madarakani ni kina nani mkuu?Chaguzi zote kunajisiwa ili wagombea wa ccm kutangazwa washindi. Toka ameingia madarakani, chaguzi zote kumefanyika, hujuma, ukatili na uhayawani wa wazi, na yote hayo ni maagizo yake. Watu wanakaa kimya sio kwa kuridhika, bali ni kuhofia maisha yao.
Pamoja na hayo ila chadema na upinzani huu uchwara lazima wapotee kwenye sura ya siasa...
Kujifariji ruksa.Watapotea kwenye bunge la makondoo, lakini sio kwa mapenzi ya wapiga kura, bali ni kupitia chaguzi za kishenzi.
Kama ambavyo mh Mbowe alivyoshambuliwa hivi karibuni na kundi la wasio julikana na kuvunjwa mguu ama sivyo mkuu?
99% ya wanaojinadi hawana Chama ni Ma-CCM.Jenga hoja acha vitoja. Mie sina chama. Nadhan umeleta mjadala huru, kubaki maoni ya watu usilazimishe Kila mtu afikiri Kama wewe
Kwahiyo ndio anatawala bila ridhaa ya wananchi, kwani walio muweka madarakani ni kina nani mkuu?