srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,025
- 3,588
Leo nikiwa nimekaa mchana hapa naangalia Al-Jazeera mara nikaona makala nzuri kabisa ikiongelea serikali ya Tanzania kuhamia Dodoma.
Nilichoona na kujifunza na kushangaa ni kwamba mbona hawa watu wanakuja wanafanya makala nzuri namna hii na kitu kinachovutia kuangalia namna hii wakati huo sisi tukashindwa.
Ni hayo tu, ngoja niwape makala yenyewe.
======
Published on 6 Oct 2016
Tanzania’s government has started relocating its capital from the port city of Dar es Salaam to Dodoma.
The move aims to centralise government ministries after being scattered since the country gained independence more than 50 years ago.
But as Al Jazeera's Fahmida Miller reports, the project is not without its challenges.
Nilichoona na kujifunza na kushangaa ni kwamba mbona hawa watu wanakuja wanafanya makala nzuri namna hii na kitu kinachovutia kuangalia namna hii wakati huo sisi tukashindwa.
Ni hayo tu, ngoja niwape makala yenyewe.
======
Published on 6 Oct 2016
Tanzania’s government has started relocating its capital from the port city of Dar es Salaam to Dodoma.
The move aims to centralise government ministries after being scattered since the country gained independence more than 50 years ago.
But as Al Jazeera's Fahmida Miller reports, the project is not without its challenges.