Al-Jazeera: Tanzania govt relocates its capital from the port city of Dar es Salaam to Dodoma

srinavas

JF-Expert Member
Jun 5, 2011
4,021
3,573
Leo nikiwa nimekaa mchana hapa naangalia Al-Jazeera mara nikaona makala nzuri kabisa ikiongelea serikali ya Tanzania kuhamia Dodoma.

Nilichoona na kujifunza na kushangaa ni kwamba mbona hawa watu wanakuja wanafanya makala nzuri namna hii na kitu kinachovutia kuangalia namna hii wakati huo sisi tukashindwa.

Ni hayo tu, ngoja niwape makala yenyewe.

======
Published on 6 Oct 2016

Tanzania’s government has started relocating its capital from the port city of Dar es Salaam to Dodoma.

The move aims to centralise government ministries after being scattered since the country gained independence more than 50 years ago.

But as Al Jazeera's Fahmida Miller reports, the project is not without its challenges.

 
Waandishi wa habari Tanzania wengi wanatafuta penye maslahi, kama tetemeko la ardhi Kagera walishindwa ndio waweze kuandaa documentary ya kuhamia Dom?

Wenzetu mbele wameendelea, waandishi wao wanajua wanachokifanya. Huku kuna redio na TV hazizingatii taaluma bali tantalila zako tu na kujulikana.

Unategemea wamchukue mtu km Gigy Money akaandae documentary?
 
reporters wengi wa tanzania hasa tv,walikuwa wapiga picha za harusi,wengine walikuwa wanasagisha mashine za unga, ma mc wa harusi hivyo hawana elimu na weledi pia,

al jazeera hawapokei pokei habari tu,hata anayezitoa lazima awe na vigezo.

kuna ma RIPOTA wa ITV ambao nikiweka CV zao humu utaomba ndimu ili usitapike
 
reporters wengi wa tanzania hasa tv,walikuwa wapiga picha za harusi,wengine walikuwa wanasagisha mashine za unga, ma mc wa harusi hivyo hawana elimu na weledi pia,

al jazeera hawapokei pokei habari tu,hata anayezitoa lazima awe na vigezo.

kuna ma RIPOTA wa ITV ambao nikiweka CV zao humu utaomba ndimu ili usitapike
kweli kabisa , wafanyakazi wengi wa tanzania wanafanyia kazi njaa njaa tu wala hawafanyi kwa passion... unakuta mtu anasikia tu kuwa kazi flani inalipa siku hzi , basi ndio kukimbilia huko ,,,, jana nilishtuka kuja kusikia kuwa mzee muhogo mchungu eti nae sasa hvi ni mtangazaji wa radio east afrika
 
Tujitahidi kujikaza kuongea kiingereza kinachoeleweka hatuna ujanja kwani hii ni lugha ya dunia. Nashauri viongozi wa haswa serikali hii wafanyiwe brush up ya miezi sita ya kuongea kiingereza. Tusipoangalia tutashindwa kufanya argument kubwa kwenye mijadala mikubwa inayohitaji uwezo wetu wa kushawishi jumuhiya na mashirika ya kimataifa
 
kweli kabisa , wafanyakazi wengi wa tanzania wanafanyia kazi njaa njaa tu wala hawafanyi kwa passion... unakuta mtu anasikia tu kuwa kazi flani inalipa siku hzi , basi ndio kukimbilia huko ,,,, jana nilishtuka kuja kusikia kuwa mzee muhogo mchungu eti nae sasa hvi ni mtangazaji wa radio east afrika
hatari,kuna haja TCRA iwalazimishe wawe na minimum number of graduates,na iwalazimishe wanaojihusisha na utafutaji habari wawe na minimum qualification kwenye mambo ya habari,may be form four na cheti cha journalism,awe repota au laa,kuna mmoja geita alikuwa mpiga picha za harusi,na kabla alikuwa msagishaji kwenye mashine za mpunga,mweusi tiii nafikiri kwa sababu ya zile mashine za enzi zile za dizeli
 
Tujitahidi kujikaza kuongea kiingereza kinachoeleweka hatuna ujanja kwani hii ni lugha ya dunia. Nashauri viongozi wa haswa serikali hii wafanyiwe brush up ya miezi sita ya kuongea kiingereza. Tusipoangalia tutashindwa kufanya argument kubwa kwenye mijadala mikubwa inayohitaji uwezo wetu wa kushawishi jumuhiya na mashirika ya kimataifa
tunajua unamlenga nani kwenye hii post,nakushauri tuuu kwamba usiwachokoze tisia raa eiii
 
Waandishi wa habari Tanzania wengi wanatafuta penye maslahi, kama tetemeko la ardhi Kagera walishindwa ndio waweze kuandaa documentary ya kuhamia Dom?

Wenzetu mbele wameendelea, waandishi wao wanajua wanachokifanya. Huku kuna redio na TV hazizingatii taaluma bali tantalila zako tu na kujulikana.

Unategemea wamchukue mtu km Gigy Money akaandae documentary?
Yes wapo kwenye kuandika story za kulipwa per Page kuwachafua watu na kuwapigia simu ili wafute ushaidi.......
 
hatari,kuna haja TCRA iwalazimishe wawe na minimum number of graduates,na iwalazimishe wanaojihusisha na utafutaji habari wawe na minimum qualification kwenye mambo ya habari,may be form four na cheti cha journalism,awe repota au laa,kuna mmoja geita alikuwa mpiga picha za harusi,na kabla alikuwa msagishaji kwenye mashine za mpunga,mweusi tiii nafikiri kwa sababu ya zile mashine za enzi zile za dizeli

Report Wa Itv Geita Ama Kituo Gani Hicho Mkuu ?
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom