Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Wanahangaika mahakamani kuripoti "umahiri" wa Mwanasheria Yule Uchwara!Waandishi wa habari Tanzania wengi wanatafuta penye maslahi, kama tetemeko la ardhi Kagera walishindwa ndio waweze kuandaa documentary ya kuhamia Dom?
Wenzetu mbele wameendelea, waandishi wao wanajua wanachokifanya. Huku kuna redio na TV hazizingatii taaluma bali tantalila zako tu na kujulikana.
Unategemea wamchukue mtu km Gigy Money akaandae documentary?